Geniustin
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 4,379
- 2,854
kona Bar noma sana pale.....Jana nilifanikiwa kufika kwa mara ya kwaaanza,Hahahahaaa Daah ni hataaare sanaaaaaaaa....nilifaiidi watot saaaana...yaaan hautumii nguuvu....Tena watot wanajileta wenyeeeweeeee,...yaan Daaah! Sijutii kufika kwangu jana...Mbona hata mumeo ni mteja wao wa kudumu? Hata jioni hii naenda kujichagulia mmoja pale kona bar.
Nikipata mda nitarudi teeena kwa wale watoto.....
Thank u all member wa JF waliokuwa wanaitaja Kona Bar kila siku...na najutia kucheleewa kufika...
Nilikuw wapi siku zoote!! I WONDER...