Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,627
Ha ha haa jamani hata mie nitanunua napenda sana na kachumbari kapilipili kwa mbalii
Haya, wamekusikia.
Ila wateja wa hii biashara ni ngumu kuwaambia waache kununua.
Ha ha haa jamani hata mie nitanunua napenda sana na kachumbari kapilipili kwa mbalii
Haya, wamekusikia.
Ila wateja wa hii biashara ni ngumu kuwaambia waache kununua.
Hata ningekua mimi mteja nisingeacha buana.! wajua kitu vitu hadimu
na ujanja wako wote kumbe unanunuaga haya makitu...unaniaibisha mwanaSAUT mwenzio lol..
Mbona hata mumeo ni mteja wao wa kudumu? Hata jioni hii naenda kujichagulia mmoja pale kona bar.khee kumbe ina wateja basi fanyeni mchakato mkatwe na VAT
mbona povu lingi limekutoka hivooo..yaan umeropoka hata usiyoulizwa...chaaa bahar ipi kwa mfano hayo maneno ya shombo uliyoyatoa wajiona mjanja khaa....kweli jf ina wagonjwa wa vichaaKwani Ninapoenda " Kumbandua " Mwanamke Huwa Najitambulisha Kuwa Mimi Ni Mwana SAUT? Mimi " Kuwakanyaga " Kwangu Hao Kunahusiana Nini Na Kusoma Kwangu SAUT? Baba Yako Mwenyewe Napishana Nae Tu Ktk Nyumba Za Kulala Wageni Mbona Humsemi? Kwahiyo Ulitaka Niache Kulala Na Hawa MAKAHABA Nije Nilale Na Mama Yako? UKITAKA KUOGELEA BAHARI YA GENTAMYCINE KWANZA YAKUPASA UPIME KINA CHAKE UONE KAMA UTAKIWEZA!
mbona povu lingi limekutoka hivooo..yaan umeropoka hata usiyoulizwa...chaaa bahar ipi kwa mfano hayo maneno ya shombo uliyoyatoa wajiona mjanja khaa....kweli jf ina wagonjwa wa vichaa
ignored!!Narudia Tena Kwa Msisitizo Mkuu Kuwa UKITAKA KUOGELEA BAHARI YA GENTAMYCINE KWANZA YAKUPASA UPIME KINA CHAKE UONE KAMA UTAKIWEZA. Siyo JF Tu Ndiko Kuna Ugonjwa Wa Vichaa Bali Hata Ktk KOO ZAKO Zote Mbili Mna UKICHAA TENA ULIOTUKUKA Ukiongozwa Nawe.
Sisi tunaoishi huku kijijini Dada zetu huwa wanatuaga kwamba wanaenda kutafuta maisha dar ukijaribu kufatilia kama anauza haya kashata mtaani hupati jibu inabidi ukae kimyaKumekuwa na sababu nyingi za hawa dada zetu wanaouza miili yao hasa kwa mkoa wa Dar es salaam, idadi hiyo ni kubwa mno ukipita uko njiani utafikili ni maandamano ya vyama vya siasa, kuna sababu nyingi zinazodaiwa na wakinadada walio wengi zinazo pelekea mpaka kufikia hatua ya kuuza miili yao kwa bei wanazozijua wao.
Sasa maisha yanavyozidi kwenda idadi hiyo imezidi kuwa kubwa zaidi kwa visingizio vya kujitafutia riziki!
Sijajua kama riziki inatafutwa kwenye kuuza mwili mimi binafsi sijazoe huo utani! Lakini pia roho ngumu walizo nazo hawa wanawake kwa kutembea na wanaume wengi kwa siku, inafikia kipindi hata wa kuwaoa sijui kama watapatikana maana hata wanafunzi wanaopata mkopo bado hushiriki katika biashara hiyo mbovu.
Mimi nafikiri ukitaka kukomesha biashara isiendelee ni kuzuia haina ya biza pamoja na muuzaji ili isiendelee kuwepo sokoni, ndio maana mimi sitaki kudili na mnunuaji nataka kudili na muuzaji maana huwezi kumzuia mnunuaji kununua kitu lakini kuna uwezekano wa kumzuia muuzaji!
Dada zetu naombeni sana tafuteni namna nyingine ya biashara sio kuuza mwili, msije kwa nguvu mimi nawasaidia kimawazo acheni.
View attachment 319766
kweli kabisa dada rubii ni pm namba yakoNilitegemea kukutana na madhara au ubaya ya biashara hiyo mpaka waiache!
Hata hivyo nibiashara ambayo wameichagua wenyewe sababu ndiyo wanaiweza nawanaendana nayo
Haramu kwako halali ya mwenzako.
si katika dunia tuliyopo sasahapo wanaume mgome kununua basi
kweli kabisa dada rubii ni pm namba yako