Wanawake mna nini na hii kitu?

Wanawake mna nini na hii kitu?

Mi mwenyewe sijui ila kusifiwa kuna nifanya nakuwa comfortable sasa ikitokea na anayetoa sifa ana vigezo vingine Mf. mrefu, intelligent& brave, humble, hardworking, self displine etc etc najikuta na fall in love!

Hivi unajiuliza hapa tu

Lakini kwenye mazingira hayo unajikuta unajiuliza hayo wakato "tayari"!
 
Yani hizo sifa zinakuwajekuwaje bado sijaelewa! Yan from nowhere unakutana na mtu anakusifia umependeza afu baada ya hapo mnaenda kubanjuka ama??

Hahahahah unajifanya hujuiii
 
Kuna Vingi tunaangalia kabla ya kukubali kubanjuka,si sifa pekee!!
Ila hizi tafiti zako hizi!!!

Najua vipo vingi lakini sio kwenye kubanjuka bali wakati mnatafuta mume!
 
Hahahaaaa....Hakuna mtu asiyependa kusifiwa hilo tukubali..!!

Mungu mwenyewe anapenda kusifiwa ndio maana huwa kuna nyimbo kibaaao za kumsifu.

Ila pamoja na hayo... Sioni kama kuna uhusiano wowote wa kusifiwa na kumkubali mwanaume..!!
 
Lakini uzuri najua kuwasomeni katikati ya mistari

Hata hapa nimekuelewa vizuri kabisa!

hhaha endelea kunisoma
mi kuna mwingine anasifiaga huyo mie najibu shortly thank u

Mara umependeza.;mara we kila nguo inayovaa inakupendeza ni work mate huyo. najua anachotaka mie nampotezea tu namjibu shortly asante. naona kachoka siku hizi
 
hhaha endelea kunisoma
mi kuna mwingine anasifiaga huyo mie najibu shortly thank u

Mara umependeza.;mara we kila nguo inayovaa inakupendeza ni work mate huyo. najua anachotaka mie nampotezea tu namjibu shortly asante. naona kachoka siku hizi

Hujampenda?
 
ur welcomed..naturally iwe ke au me tunapenda attention,ila kwa kuwa ke juhudi za kupendeza ni nyingi ndo vile,..

Me ni tofauti na ukiona me anapenda kusifiwa huyo ana walakini!
 
Hahahaaaa....Hakuna mtu asiyependa kusifiwa hilo tukubali..!!

Mungu mwenyewe anapenda kusifiwa ndio maana huwa kuna nyimbo kibaaao za kumsifu.

Ila pamoja na hayo... Sioni kama kuna uhusiano wowote wa kusifiwa na kumkubali mwanaume..!!
Neylu .......

Najua wewe una umri wa kutosha kujua ukweli kwenye hili

Hebu acha zako bana!
 
Last edited by a moderator:
Ila kusifiwa raha jamani hasa na beby wako basi bichwa hiloo!!
 
hhaha endelea kunisoma
mi kuna mwingine anasifiaga huyo mie najibu shortly thank u

Mara umependeza.;mara we kila nguo inayovaa inakupendeza ni work mate huyo. najua anachotaka mie nampotezea tu namjibu shortly asante. naona kachoka siku hizi

Hilo ni kosa alilolifanya

Haitakiwi ujue anachotaka

Na inaonekana huyo ni mtoto kwenye masuala haya

But, i understand you ....!!
 
Back
Top Bottom