halafu kauli kama hizi nazichukia sana ina maana namgegeda ama tunagegedana? nini maana ya above 18 kwenye kugegedana?
king'asti kwa majibu makavu hujambo,mimi kimtazamo wangu hajakosea hata ukienda hospitalini zile za OPD,clients wengi ni wanawake am sure of it 100%
King'asti;Ndio mnadai haki sawa kwa wote;
Huku mkiona mna haki ya kupewa fedha na kufadhiliwa na wanaume wenu?
Mtatumika na kutumiwa hadi mbunye zibabuke kwa msuguliwa.
Bazazi!
Tatizo lako bahili. Bila kukuambia wanaumwa ndo hata hela ya juisi hautoi! Watakudanganyia hadi kansa nakuambia.
Naungo mkono hoja wanawake bhana miili yao ni complex sana nilikuwa nampango after 5 years to come kuoa lkn baada ya kuona hiyo mambo nimeongeza 5 mingine utafurahiaje maisha hata kama unapesa huku mwenzio kila cku anasumbuliwa mara tumbo, ulcers etc bora aumwe mume maana ke wanatiaga huruma nakukuchoka juu
duh. Makavu makavu namna hii? Hivi hamna hata pesa ya kununulia vibandiko?Yeye amekalia whatsup msg tu baby nimekumiss, tuma hela ya pampers huko, eboo
Kwa iyo wazazi wake ni wa nini?
Ndeye!Ila ukweli Bazazi hata wewe unatisha hiyo picha na wewe mwenyewe sijui ndivyo ulivyo. lol Lazima utakuwa Bazazi kweli.
huyu mtoto anajiweka kwe risk ya kugegedwa ka ningekua Bazazi.
Anyway nitafata ushauri wako.
King'asti!Hebu nipishe mie, kama inachakaa yako si ingeisha?
Ndeye!Hayo ni mpozi tu;
Bazazi ni Nyamaume yenye mvuto
Naam mwanaume anayesimama na kusababisha;
Kusababisha bunye za kinadada na kinamama kulowa;
Kulowa kwa matamanio
Matamanio ya Dhakari, Joto na Manjonjo.Bazazi Hatishi.
Bazazi