brenda18;Acha woga mtoto wa kike!
Unaogopa picha?
Bazazi
Ila ukweli Bazazi hata wewe unatisha hiyo picha na wewe mwenyewe sijui ndivyo ulivyo. lol Lazima utakuwa Bazazi kweli.
brenda18;Acha woga mtoto wa kike!
Unaogopa picha?
Bazazi
Tatizo lako bahili. Bila kukuambia wanaumwa ndo hata hela ya juisi hautoi! Watakudanganyia hadi kansa nakuambia.
Kila msichana ninayekua nae, baada ya wiki moja mbili ya kufahamiana, utasikia tumbo la hedhi, mara vidonda vya tumbo, mara kipanda uso, miguu inauma, kifua kinabana, mara chango etc.
Ivi kitendo cha nyie kudondoka na kujitokeza kuombewa kwa wingi inaweza ikawa pia ni uthibitisho kuwa mpo gonjwa gonjwa sana?!
Make apo ni kabla ya ndoa, ukishaanza kupata complication za kujifungua itakuaje?
Kwanini msifanye full medical checkup?
Una uhakika na unachosema? unajua Life expectancy ya mwanamke na ya mwanaume ni yupi anaishi muda mrefu? jibu kwa tafiti za kisayansi ni mwanamke sasa kama wana magonjwa magonjwa inakuwaje hivyo?Kila msichana ninayekua nae, baada ya wiki moja mbili ya kufahamiana, utasikia tumbo la hedhi, mara vidonda vya tumbo, mara kipanda uso, miguu inauma, kifua kinabana, mara chango etc.
Ivi kitendo cha nyie kudondoka na kujitokeza kuombewa kwa wingi inaweza ikawa pia ni uthibitisho kuwa mpo gonjwa gonjwa sana?!
Make apo ni kabla ya ndoa, ukishaanza kupata complication za kujifungua itakuaje?
Kwanini msifanye full medical checkup?
aiseee mkuu hiyo ni kweli kabisa yaani wanawake siku hizi wamezidi mi kuna mmoja kila nikimgegeda anadai eti mtarimbo unagusa hadi kwenye maini,mara ooo fanya taratibu tumbo linachoma yaani sipati raha kabisa.
mpenzi pole........upo?
Hapa kazi, itakuwa huyo ni jamii ipi ile?
Tatizo lako bahili. Bila kukuambia wanaumwa ndo hata hela ya juisi hautoi! Watakudanganyia hadi kansa nakuambia.
Nje ya mada.
Jana jioni nilikutana na mdada, nikadhani yuko chuo, nikamwomba namba,kumbe anasoma kidato cha 3 ili kuthibitisha hajanipa namba ya gari, nikam-bip. Bahati mbaya ni sikuisevu, nikijua ni mtoto.
Asubuhi hii kabla ya saa moja nakuta msg ya tafadhali niongezee hela.
Ikabidi nipige kwani ni namba ngeni kwangu, akadai ni "mimi yule wa jana niliyekupa namba".
Sasa najiuliza, ivi nyie wanawake, mnadani wanaume mda wote tuna hela tu?
Afu hata hatujakaa kuongea na kuzoeana kweli?
Ivi sisi tukiwaomba mbunye bila kuzoeana tena barabarani mtatupa?
hahaha jambazi anaogopa kuibiwa
hapo sasaila anapenda kuiba!!!!
Wanaumwa kweli, kuna mmoja nimemtibu macho na miwani ya laki 2. Ila nimetumia AAR.
King'asti!!!!
Hopelesheni nitamushilisha Kakajambazi awe muasibu maana jangiri rinataka hopelesheni iwe oteri ya nyota tano. Uyu muasibu ana CPA ya kuzibiti mapato na matumizi kwenye hopelesheni
Kila msichana ninayekua nae, baada ya wiki moja mbili ya kufahamiana, utasikia tumbo la hedhi, mara vidonda vya tumbo, mara kipanda uso, miguu inauma, kifua kinabana, mara chango etc.
Ivi kitendo cha nyie kudondoka na kujitokeza kuombewa kwa wingi inaweza ikawa pia ni uthibitisho kuwa mpo gonjwa gonjwa sana?!
Make apo ni kabla ya ndoa, ukishaanza kupata complication za kujifungua itakuaje?
Kwanini msifanye full medical checkup?