Wanawake mna magonjwa mengi jamani!

Wanawake mna magonjwa mengi jamani!

Atakuja na daktari kasema Tv ndio chanzo so inabidi kubadili nitumie LED na miwani yake ndio itasidia!!!!!!!!

Chezeiyaaaaah mgonjwa wa macho nini??????!!!

Sie wagonjwa wa macho tuna kazi,, wengine twaumwa kweli.
 
Mkuu mi nilidhani ni mapema mno, na huyu mtoto anajiweka kwe risk ya kugegedwa ka ningekua Bazazi.
Anyway nitafata ushauri wako.


Ha ha haaaa Bazazi.,...away from reach of children!!!!

Yawezekana kataitika kweli bana huwezi jua hii life ishakuwa ngumu we mfanyie vizuri tu kwani nini bhana!!
 
Last edited by a moderator:
Tatizo lako bahili. Bila kukuambia wanaumwa ndo hata hela ya juisi hautoi! Watakudanganyia hadi kansa nakuambia.

king'asti kwa majibu makavu hujambo,mimi kimtazamo wangu hajakosea hata ukienda hospitalini zile za OPD,clients wengi ni wanawake am sure of it 100%
 
... KakaJambazi kama ndio inakuwa hivyo kwako, basi jaribu kuangalia na kwa upande wako una shida gani labda maana haiwezekani kila unayekutana naye WEWE ndo zinatokea xcuse za namna hiyo...maradhi yapo kwa kila kiumbe na tuliumbiwa sote, ila KWA CASE YAKO, naona ebu jaribu kujiuliza as to why?
 
Last edited by a moderator:
... KakaJambazi kama ndio inakuwa hivyo kwako, basi jaribu kuangalia na kwa upande wako una shida gani labda maana haiwezekani kila unayekutana naye WEWE ndo zinatokea xcuse za namna hiyo...maradhi yapo kwa kila kiumbe na tuliumbiwa sote, ila KWA CASE YAKO, naona ebu jaribu kujiuliza as to why?

jamiif labda we unahonga sana.
 
Last edited by a moderator:
Kuna rafiki yangu alimwambia mumewe ana umwa moyo na anatibiwa regency dawa kwa mwezi sh 400,000 mume akawa anatoa tena anamwambia me natoa pesa kwa vitu muhimu tu sina pesa za kuchezea. Baada ya mda akawa anaitaji pesa za kununulia bodaboda afanyie biashara akaanza kichwa kichwa badae ikafika stage ya kupima CT SCAN AMI hosp 800,000 baada ya hapo. Akatumia dawa za laki mbili kichwa tena kikaanza sasa ikawa ni RMA/RMI ( wahusika mtanisahisha kama nimekosea) hapo mzee akatoa 1500,000. Akapeleka invoice ya dawa tena zinaagizwa india au nairobi mbona alinunua boda boda zake mbili kwa kutumia ugonjwa sababu mumewe kumpa mtaji hataki anampiga karenda tu

Hiyo ndio dawa ya wanaume bahiri
 
King'asti!!!!

Hopelesheni nitamushilisha Kakajambazi awe muasibu maana jangiri rinataka hopelesheni iwe oteri ya nyota tano. Uyu muasibu ana CPA ya kuzibiti mapato na matumizi kwenye hopelesheni

Hapa kazi, itakuwa huyo ni jamii ipi ile?
 
Back
Top Bottom