Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,770
- 54,846
Ninachojua nia ya dhati ni kuoa kabisa umweke ndani.Kuupa muda mahusiano yenu angalau hata wiki 3 au 1 month ndipo uombe mzigo hapa demu ataona amethaminiwa na nia ya dhati ndio inapimwa hivyo hapa nazungumzia aina ya manzi ambaye mwenye maadili ndio wapo hivyo
Bado uko naye?Ofcourse hela inaongeza confidence na chachu kwenye mapenzi lakini usipende kuitumia kwa kila mwanamke kama kigezo Cha kumpata utapata mademu ambao ni slay queens mimi nimewahi kupata demu mkali hata mimi nilishangaa huyu sijawahi kutoa hata senti Moja kwa kipindi chote nilichomfatilia mpaka nimempata nilimteka kwa maneno tu na baada ya kuingia kwenye mahusiano nae nikawa nagharamia na ilikuwa ni maamuzi yangu yeye binafsi alikuwa aniombi kiivyo akiniomba ujue ana shida kweli, Alikuwa anisumbui kabisa kwenye game alikuwa ana nipa hata bila mimi kumuomba, alikuwa ananiheshimu mno, na alinipenda
Cha kuthamini ni pesa yako tuKuupa muda mahusiano yenu angalau hata wiki 3 au 1 month ndipo uombe mzigo hapa demu ataona amethaminiwa
Alienda Canada kusoma masters hadi sasa yupo uko mkuu so kiuhalisia hapo hakuna mahusiano siwezi kuwa na long distance relationshipBado uko naye?
utafikiri mapakaKumbe kuna watu bado mna angaishwa kupewa pusy kiasi iko cha kukimbizandani
Kuku bhna sio mapaka 😂utafikiri mapaka
hotspot kwa maana ya.....wewe ukiona anagunaguna fukuza.... bora upige puchu kuliko uende jela ufanywe hotspot kila mtu anaconnect
Long distance relationship ni usanii tuAlienda Canada kusoma masters hadi sasa yupo uko mkuu so kiuhalisia hapo hakuna mahusiano siwezi kuwa na long distance relationship
Kuku bhna sio mapaka
Itakuwa kuna kitu hakijamvutia kwakoKuna mwanamke nimeanza date nae kama mwezi mmoja, sasa first time niliomba mzigo akazingua na kusema bado tupeane muda. Mie nikachukulia poa tu sio mbaya, ikapita kama mwezi kutoka na ubize wa hapa town tulikuwa tunawasiliana vizuri ila kuonana ilikuwa changamoto lakini Jumapili jana kanipigia simu ooh nimekumiss sana naomba nije kwako, nikasema poa leo nipo njoo.
Anakuja geto tumekaa yeye mwenyewe kaanza uchokozi, mie nikasema mambo si ndio haya. Sasa cha ajabu amevua nguo kila kitu hataki nimkaze, sababu eti nitamchezea na kunipa masharti eti kama nataka kufanya nae mapenzi lazima niende kwao tuwe wachumba rasmi, dah nilichoka.
Nilikomaa sana na kumuahidi ili wapi akawa anakimbia tu ndani, mara seating room, nikimfuata hataki kabisa tena anakuwa mkali. Nikamuuliza wewe ni bikra, akajibu hapana, so why unakuwa hivyo kama saa nzima hivi na nikamuuliza why uliacha kufika mpaka kuvua nguo na wewe ndio umeanza kunichokoza?
Akaanza kunitolea masharti, eti lazima niende kwao ili anipe mbususu, so mie nikamaindi nikamwambia aondoke kwangu. After that kweli akasepa, usiku alipiga simu mie nilimchana live kuwa simtaki, kuanzia jana sababu nilijua anatakaa kutumia mbususu yake kunikomoa.
Ila yeye akapaniki, jana amelalamika sana ila leo baada ya kuona simjibu ameanza anatukana tu kwenye kwa sms.
Nimfanyeje huyu wadau?
Kama wanacheza zile nyimbo za kihindiunakimbiza hadi sebuleni?? kweli ugwadu ulikukamata
Kwa ufupi ni kwamba tayari ana mtu wake wa kumkaza ila kwako amekuja kutafuta ndoa tu. Tuliosoma Cuba tumebaini kuwa huyo anayemkaza hana mpango wa kumuoa japo demu kamuelewa jamaa, kwahiyo ameamua kuja kuitafuta ndoa kwako ili kukimbizana na Muda.Kuna mwanamke nimeanza date nae kama mwezi mmoja, sasa first time niliomba mzigo akazingua na kusema bado tupeane muda. Mie nikachukulia poa tu sio mbaya, ikapita kama mwezi kutoka na ubize wa hapa town tulikuwa tunawasiliana vizuri ila kuonana ilikuwa changamoto lakini Jumapili jana kanipigia simu ooh nimekumiss sana naomba nije kwako, nikasema poa leo nipo njoo.
Anakuja geto tumekaa yeye mwenyewe kaanza uchokozi, mie nikasema mambo si ndio haya. Sasa cha ajabu amevua nguo kila kitu hataki nimkaze, sababu eti nitamchezea na kunipa masharti eti kama nataka kufanya nae mapenzi lazima niende kwao tuwe wachumba rasmi, dah nilichoka.
Nilikomaa sana na kumuahidi ili wapi akawa anakimbia tu ndani, mara seating room, nikimfuata hataki kabisa tena anakuwa mkali. Nikamuuliza wewe ni bikra, akajibu hapana, so why unakuwa hivyo kama saa nzima hivi na nikamuuliza why uliacha kufika mpaka kuvua nguo na wewe ndio umeanza kunichokoza?
Akaanza kunitolea masharti, eti lazima niende kwao ili anipe mbususu, so mie nikamaindi nikamwambia aondoke kwangu. After that kweli akasepa, usiku alipiga simu mie nilimchana live kuwa simtaki, kuanzia jana sababu nilijua anatakaa kutumia mbususu yake kunikomoa.
Ila yeye akapaniki, jana amelalamika sana ila leo baada ya kuona simjibu ameanza anatukana tu kwenye kwa sms.
Nimfanyeje huyu wadau?
We sema kweliHuyo dem anajamaaa yake anamkaza vzr tuu kwako anakuchora.
Tamthilia za ki-Korea zinawaharibu vijana wa mjiniUnafukuzia mbususu mwezi mzima huo ni utoto lazima manzi akudharau.
Siku ya kwanza mkianza mazungumzo unatakiwa uombe mzigo unampa siku kadhaa hatoi unapiga chini
Tatizo vijana mnapenda sana kutongoza na kubebishana mnapoteza muda na kupigwa vizinga nenda kwenye kusudi kuu utelezi.