Kuna demu nimeanza date nae kama mwezi mmoja Sasa first time niliomba mzigo akazingua na kusema Bado tupeane mda, mie nikachukulia poa tu sio mbaya ikapita kama mwezi kutoka na ubize wa hapa town tulikua tunawasiliana vizuri ila kuonana ilikua changamoto ila jumapili jana kanipigia simu ooh nimekumic Sana naomba nije kwako nikasema poa Leo nipo njoo..Anakuja geto tumekaa yeye mwenyewe kaanza uchokozi mie nikasema mambo si ndio haya Sasa Cha ajabu amevua nguo kila kitu hataki nimkaze sababu eti nitamchezea na kunipa masharti eti kama nataka kusex nae lazima niende kwao tuwe wachumba rasmi dah nilichoka.. nilikomaa Sana na kumuahidi ili wapi akawa anakimbia tu ndani mara seating room nikimfuata hataki kabisa tena anakuwa mkali, nikamuuliza wewe ni bikra akajibu hapana xo why unakua hivyo kama saa zimaa hivi na nikamuuliza why uliacha kufika mpk kuvua nguo na wewe ndio umeanza kunichokoza akaanza kunitolea masharti eti lazima niende kwako ili anipe pusi...so mie nikamaindi nikamwambia aondoke kwangu after that kweli akasepa usiku alipiga simu mie nilimchana live kua simtaki kuanzia jana coz nilijuaa anatakaa kutumia pusi yake kunikomoa... Ila yeye akapaniki jana amelalamika Sana ila Leo baada ya kuona simjibu ameanza anatukana tu kwenye kwa sms...
Nimfanyeje huyu wadau