Wanawake michosho kweli jamani

Wanawake michosho kweli jamani

Sasa si ndo madrama hayo, wengine utoto utoto hatuwezi yani uje geto alafu tuanze uhindi siwezi

Ahahaahh ila wanawake wana angalia wakumletea izo pigo za kitoto si ajabu jama kajiweka kitoto sana
 
Una bahati Sana,Nenda Katie sadaka kwenye kaburi la Babu yako,Huo ndo muujiza,angekuumiza Sana huyo Pepo,achana na onyo jingine pambana na life,vuta gari,vuta jengo zuri,andika vyote majina ya Mama yako,viva gentleman
Kuna demu nimeanza date nae kama mwezi mmoja Sasa first time niliomba mzigo akazingua na kusema Bado tupeane mda, mie nikachukulia poa tu sio mbaya ikapita kama mwezi kutoka na ubize wa hapa town tulikua tunawasiliana vizuri ila kuonana ilikua changamoto ila jumapili jana kanipigia simu ooh nimekumic Sana naomba nije kwako nikasema poa Leo nipo njoo..Anakuja geto tumekaa yeye mwenyewe kaanza uchokozi mie nikasema mambo si ndio haya Sasa Cha ajabu amevua nguo kila kitu hataki nimkaze sababu eti nitamchezea na kunipa masharti eti kama nataka kusex nae lazima niende kwao tuwe wachumba rasmi dah nilichoka.. nilikomaa Sana na kumuahidi ili wapi akawa anakimbia tu ndani mara seating room nikimfuata hataki kabisa tena anakuwa mkali, nikamuuliza wewe ni bikra akajibu hapana xo why unakua hivyo kama saa zimaa hivi na nikamuuliza why uliacha kufika mpk kuvua nguo na wewe ndio umeanza kunichokoza akaanza kunitolea masharti eti lazima niende kwako ili anipe pusi...so mie nikamaindi nikamwambia aondoke kwangu after that kweli akasepa usiku alipiga simu mie nilimchana live kua simtaki kuanzia jana coz nilijuaa anatakaa kutumia pusi yake kunikomoa... Ila yeye akapaniki jana amelalamika Sana ila Leo baada ya kuona simjibu ameanza anatukana tu kwenye kwa sms...
Nimfanyeje huyu wadau
 
Hahahahaha hahahah dah kuna watu wana koment nyundo mpaka nacheka mwenyewe et"mtoa mada zungu khan)
 
Hivi hayo yenu yalikuwa mapenzi au utoto?

Jifunze kusoma za nyakati happy huna demu piga chini mazima utafute mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom