Hahahaha.... Yaani kama upo na Mimi vile mkuu. Atatext "niambie" au huwa wanafupisha "nambie".. Unajua females wanaouliza hivi wengi wanasifa zifuatazo mkuu.
1. Very Low thinking capacity. Hawa wanakutegemea wewe ndio uwe moderater wa maongozi every time mnachati, wewe ndio uwe unafanya all the thinking yeye kazi yake ni kujibu tu au kucheka, hataki kuumiza kichwa
2. No school au shule imekaa pembeni. Hawa ni aina ya mabinti ambao hawana exposure sio tu kimasomo hata pia kijiografia, hii inafanya akili yake kuwa limited kwakuwa hana cha kuongea.
Kuna sababu nyingine nyingi tu, ila nimetaja mawili tu start with.
I wish they knew Men are obsessed na charming women, creative ones na wale wenye upeo.