love more than100
JF-Expert Member
- Jan 27, 2014
- 2,061
- 715
Lazma uwe mkurya wewe. Sasa si ubebishe wakurya wenzio? Usituchoshe, maswali lazma yaendelee.
Utakuta mtu anakuuliza mm ni mwanamke wa ngapi kunitia ukimwambia wa 120 anachukia sijui alitaka umwambie wa nne
sio kila tu anaekuuliza baby upo wapi au umekula anakupenda wengine wanauliza ili ajue upo kiwanja gani nae achepuke ili usimfumanie hawa viumbe ni wajanja kuliko sungura yaaani basi tu
Umesema kitu hapo... Wapo baadhi sio wabunifu hata ukichati nae.. Utakuwa short answers like "k" "sawa" " ndio.. Binafsi I get bored. Basi ukiacha room aendeleze conversation, anadakia " niambie".. Jirekebisheni kwakweli, at the same time unakutana na mwingine very interesting to chat with., then you automatically shift interests zako
tajirijasiri
hao ni janga la taifa ndugu,unakuta mtu unawaza mambo ya familia,unafikiria utaumaliza vp mwezi anaanza kukuhadithia mambo ya ofisini mara oooh hadija amenunuliwa viatu vizuri kweli na mumewe,mara oooooh kuna rafiki yangu amenunua begi zuri kweli mara ooooooh blaaah blaaaaah....ladies badilikeni jamani
hii ni midume iliyoathirika na vineno vya kike.Amini usiamini iko midume ina maswali hayohayo, tena anaweza kupiga simu hata mara nne kwa siku na kuuliza ujinga ujinga tu, na usipopokea simu ili kuepuka round nyingine tena ya ujinga inakuwa ugomvi. Usihukumu upande mmoja tu.
Sa si unapetiwa petiwa we vipi
Poa baby umeshakula lakini? TehSijakataa kupetiwa petiwa, na hayo maswali yaulize kwa dizaini tofauti tofauti sio kila siku mfumo na mpangilio wa swali na mazungumzo yale yale tune ile ile. Uchoshi bwana
Poa baby umeshakula lakini? Teh