Wanawake mabikra tukutane hapa

Wanawake mabikra tukutane hapa

Nakuuliza Tarehe 12 June inakaribia kufika hiyo nyumba kama bado hujauza njoo ni inunue. Kabla huyo ex wako hajaipiga mnada maana naona ndio inayokuwehua akili.
 
Tangazo lako limewafikia
Siku zote biashara matangazo
Najua huko pm kumefurika sahii
 
Mimi natoa million moja kwa yeyote mwenye miaka 23 and above na anabikira. Am serious.
 
...
Nawaalika mabikra wote tuliopo MMU tukutane hapa tupeane uzoefu, lengo kubadirishana mbinu zilizotusaidia kuutunza usichana wetu mpaka Leo hii.

Binafsi nilifanikiwa kuutunza usichana wangu kwa kuzingatia maagizo ya wazazi wangu, pamoja na hilo pia nili nia kuto kumkubalia mwanaume yoyote atakaye nitaka kimapenzi...
Kuna raha zake kuchangia kwenye JF kwa kuwa mtu hujulikani, hivyo uwongo, umbeya, udaku, nk utabandika tu.

Kama kweli kwenye profile yako umezaliwa 01/01/1971 (umri miaka 46) huwezi kuwa bikira hadi leo.

Hayo uliyoyaandika yawezekana uliyafanya wakati huo ukafanikiwa kutunza ubikira hadi ulipoolewa, au ulitamani uyafanye lakini wanaume wakakuzidi ujanja ukazalishwa na sasa ni 'single mother', galatia.
 
Back
Top Bottom