Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Bora uwe mkweliNinapita tu jamani
Bora uwe mkweliNinapita tu jamani
Povu lote hilo ni wivuHayo sasa mashauzi, umepewa tunda unalibania litachacha ! Nakuhurumia maana huyo mume unayemtunzia huko alipo ameshaonja mpaka tigo
Msema kweli ni mpenzi wa MunguBora uwe mkweli
Utamtia najisi bikra Wa watu.huu uzi upo peke yako dada hongera sana..
labda mimi bikira wa kiume nikupe company.. tujimwaye mwaya mabikira tupu tupeane na namba na kutembeleana
Ndiokuna zawadi?
Kwa hii chai akukubali naomba uni quoteBest ili katika wakati ninajifunza kuendesha baiskeli na mwanaume atakaeniuliza nitamfanyia IQ test kwanza
Uko peke yako mama..Jimwae mwae kwenye uzi wako
yaani umenifanya niangue kicheko wakati nlikuwa nimenunaMpaka sasa umepata pm ngapi?Vyovyote vile bado nia yangu haiwezi badirika kwakuwa kila mtu atabeba furushi lake mwenyewe
Hamna bikra hapo,tena umepiga sana ndondo.Nina 29 sasa
Kuna raha zake kuchangia kwenye JF kwa kuwa mtu hujulikani, hivyo uwongo, umbeya, udaku, nk utabandika tu....
Nawaalika mabikra wote tuliopo MMU tukutane hapa tupeane uzoefu, lengo kubadirishana mbinu zilizotusaidia kuutunza usichana wetu mpaka Leo hii.
Binafsi nilifanikiwa kuutunza usichana wangu kwa kuzingatia maagizo ya wazazi wangu, pamoja na hilo pia nili nia kuto kumkubalia mwanaume yoyote atakaye nitaka kimapenzi...
Kukuoa nami nifaidiUnatamani kuolewa?