Wanawake mabikra tukutane hapa

Wanawake mabikra tukutane hapa

Ukiwa na hofu na Mungu na kama ulipata malezi mema utajitunza tu kwa ajili ya kupata radhi za Mungu.

Usijitunze kwa ajili ya mume..wanaume hawana maana..ukiwa bikra atakuita gogo hujui kitu ukiwa mtundu atakuita malaya.
Asante kwa maneno yako mazuri nimekuelewa kbsa
 
Back
Top Bottom