BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Mie nilivyokuona mtaa huu nikajua nawe bado unayo Best. 🙂🙂🙂
Ninapita tu jamani
Ninapita tu jamani
Baba unaua bendi tupo sema mtoa mada hajawa specific kuwani ipi tuje!Uko peke yako mama..Jimwae mwae kwenye uzi wako
Best ili katika wakati ninajifunza kuendesha baiskeli na mwanaume atakaeniuliza nitamfanyia IQ test kwanzaMie nilivyokuona mtaa huu nikajua nawe bado unayo Best. 🙂🙂🙂
Haya bhana hongera Kwa kujitunza kama ni kweli ila...Wala sitafuti lawama ila pia niwazuii kusema wayatakayo
Hayo yoote uliyoongea haya husiani na nilichokiandika, maneno kama yako nilishaambiwa sana lkn sikubabaika na bado sitababaika najua ninacho kifanya. na uzuri mwenyewe eggyjay siyo Mungu na wala sijitunza ili nikufurahishe.hongera mwaya...ila bikra sio ujanja karne ya sasa sababu kuna bikra za kichina..
wengine tulipenda kuwa nazo but mazingira hatarishi yalifanya tuzipoteze..
licha ya kutokuwa nazo tunaolewa na ndoa zenye furaha tele
pia usiishi maisha kwa kukariri...yan fair tales unawaza ""nkiwa bado na bikra yangu..nampata kijana mwenzangu mzurii sana..ananioa..tunaishi raha mustarehe maisha mazur...mme wangu ananipenda sana.....
haiko hivo..unaweza uolewe bikra na ndoa uione chungu..mwanaume kaahakipata alichokifuata na mimba kakubebesha hlf ye yuko nize na vibint vya sekondary....uaikariri shouga.
pia ushauri wa bure kwako..usimwambie mwanaume kwamba wewe ni bikra..
mwanaume yupo tayari kufanya lolote ili aipate..na akishaipata ndo baas!!!
mfanyie surprise.
na wanaume wa kusubir hadi ndoa siku hizi mayb utawapata..watoto wa mjini hawakubali kuuziwa mbuzi ndani ya gunia..
kama hujui muulize nyantumba na bikra yake anavopata tabu
kila la heri katika kujibu pm!
Beat ili katika wakati ninajifunza kuendesha baiskeli na mwanaume atakaeniuliza nitamfanyia IQ test kwanza
Ana miaka 46, wewe una miaka mingapi brother . . ? Tazama post # 61 . .Kama ni bikra utanifaa kwa ndoa

Miaka 29 bado? Hata polisi alianzia ukruta. espy, mshauri mwenzenu aonje hiyo kitu kabla hajaenda kwenye ndoa.Aende akiwa amepata za radha tofauti kuepusha matusi baadaeHebu usimdanganye mwenzio
Ya wahenga hayo ukiona nyani mzee ujue kakwepa mishale mingi saaana ujananiAna miaka 46, wewe una miaka mingapi brother . . ? Tazama post # 61 . .
Bikra ya umri huo ni sisi wazoefu tuu ndio tunaweza kuzing'oa . .![]()
![]()