Hongera sanaHahaaaa na mimi nipo nakutana na changamoto nyingi sana
Hongera sanaHahaaaa na mimi nipo nakutana na changamoto nyingi sana
Kuna order imetoka Kwa mfalme Mswati so zawadi za kutoshakuna zawadi?
Kama utafanya na mengine yampendezayo Mu Umba una kwenda peponi.kwani ukitunza bikra unapata faida gani au mahari inaongezeka?
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Nawaalika mabikra wote tuliopo MMU tukutane hapa tupeane uzoefu, lengo kubadirishana mbinu zilizotusaidia kuutunza usichana wetu mpaka Leo hii.
Binafsi nilifanikiwa kuutunza usichana wangu kwa kuzingatia maagizo ya wazazi wangu, pamoja na hilo pia nili nia kuto kumkubalia mwanaume yoyote atakaye nitaka kimapenzi.
Changamoto nilizokutana nazo kwa uamuzi huo ni nyingi sana , wasichana wenzangu walinicheka na kuniambia nakosa raha duniani.
wavulana walifka mahali wakawa wana niogopa sana kutokana na majibu yangu.
Nilitengwa ktk mambo kadhaa na walio kuwa rafiki zangu.
Nilionekana kama mwanamke asiye na hisia ...na mengine mengi tu lkn hayakuni yumbisha.
Nafurahia maamuzi yangu sijawahi kuyajutia kamwe.
Na nitaendelea na msimamo wangu mpaka nitakapo funga ndoa...
Karibuni
Nenda nyuma shetani uyawezi ya Mungu ila ya wanadamuHayo sasa mashauzi, umepewa tunda unalibania litachacha ! Nakuhurumia maana huyo mume unayemtunzia huko alipo ameshaonja mpaka tigo
Nakutakia maisha mema galatia, mwenyezi mungu akujaalie kila la kheri upate mume mwema na mwenye maadili mema, lakini hata baada ya kuolewa na kuonja usije kuwa na tabia kuchepuka.Nina 29 sasa
Komaa nayo wasikudanganyeVyovyote vile bado nia yangu haiwezi badirika kwakuwa kila mtu atabeba furushi lake mwenyewe
I want to marry you in voice of neyo and DiamondVyovyote vile bado nia yangu haiwezi badirika kwakuwa kila mtu atabeba furushi lake mwenyewe
Asa ndugu 29 hajaolewa ana kasolo gani na kigezo chetu cha kwanza ni uaminifu?
Wallah nikikukuta na bikra (siyo ya mchina) nakupa nyumba yangu bure.Nina 29 sasa
Sawa mkuu, naliheshimu ombi lako.Hata mimi bikra, tafadhali mtuache.
Wasikukatishe tamaa dada Mutumainie Mungu utashinda uwezi kupata furaha ya kweli kupitia uzinzi Bali furaha ya kweli yapatikana kwa kuliishi neno la Mungu.Vyovyote vile bado nia yangu haiwezi badirika kwakuwa kila mtu atabeba furushi lake mwenyewe
Tuko pmj hongera sana
Ni kweli hata kazi ngumu zinatoahahahahahahaha lol! Nilishasikia hiyo kwamba Baiskeli zinahusika sana katika kutafuna Bikra za mabinti 🙂🙂 Pole sana.
Wasalipa mkombeHongera sana
Bikra kwa bikraUnayemtunzia hiyo bikra sasahivi anashikisha watu ukuta huko na anafanya tigolization sasa kaa mkao....