Wanawake mabikra tukutane hapa

Wanawake mabikra tukutane hapa

Ukiwa na hofu na Mungu na kama ulipata malezi mema utajitunza tu kwa ajili ya kupata radhi za Mungu.

Usijitunze kwa ajili ya mume..wanaume hawana maana..ukiwa bikra atakuita gogo hujui kitu ukiwa mtundu atakuita malaya.
Na anaejitunza kwa hufu usemayo hawezi tangaza
 
  • Thanks
Reactions: Pep
kazi unayo...narudia tena bikra hawajitangazi..ibaki siri yako na muumba wakoo..bikra tupo wengi sana ila kimya sababu sio vema kimaadili...
tushaona tangazo lakoo!
wapokee pm dada jua linszama hilo
angalia vizuri thread zako..kwanza kabisa uloanza kutafuta mume...baada ya few months unakuja na thread ameniacha bila sababu..tena mwanaume ulompata humuhumu jf..
na hili pia tangazoo shoga baada ya kuachwa.
watakuja usijali
Hahahahah huku watu wapo Kwa ajili ya kuchangamsha jamvi maneno yao usichukulie serious,hivi na ww una amini kweli ni bikra?
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza

Nawaalika mabikra wote tuliopo MMU tukutane hapa tupeane uzoefu, lengo kubadirishana mbinu zilizotusaidia kuutunza usichana wetu mpaka Leo hii.

Binafsi nilifanikiwa kuutunza usichana wangu kwa kuzingatia maagizo ya wazazi wangu, pamoja na hilo pia nili nia kuto kumkubalia mwanaume yoyote atakaye nitaka kimapenzi.

Changamoto nilizokutana nazo kwa uamuzi huo ni nyingi sana , wasichana wenzangu walinicheka na kuniambia nakosa raha duniani.
wavulana walifka mahali wakawa wana niogopa sana kutokana na majibu yangu.
Nilitengwa ktk mambo kadhaa na walio kuwa rafiki zangu.

Nilionekana kama mwanamke asiye na hisia ...na mengine mengi tu lkn hayakuni yumbisha.

Nafurahia maamuzi yangu sijawahi kuyajutia kamwe.

Na nitaendelea na msimamo wangu mpaka nitakapo funga ndoa...

Karibuni
Hukukutana na wenye voko za mitendo we mwenyewe ungeunga waya
 
Hahahahahah hapa unatafuta lawama Kwa wanawake wenzio,kuna ambae akifikiria hata ya tako Hana halafu ww unamringishia bikra,ni hatari saana by the way ngoja tuwasilize
Uzito wake upo kwa Mungu huko kila mtu ana kadi yake hamna atakae jisikia vibaya apo
 
Hahaha wanawake wanafuraishaga sana wana mambo asee,..sasa icho kijeba ni kibkra kabisa,wakati kimeanza mapenzi darasa LA tatu c,aya maisha bila uongo uishi,..gadam!!
 
Hongera sana kama ni kweli lakini sijakuelewa nia yako ni nini hasa kuleta hiyo mada huku
 
Back
Top Bottom