Haya mama nitunzie......Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Nawaalika mabikra wote tuliopo MMU tukutane hapa tupeane uzoefu, lengo kubadirishana mbinu zilizotusaidia kuutunza usichana wetu mpaka Leo hii.
Binafsi nilifanikiwa kuutunza usichana wangu kwa kuzingatia maagizo ya wazazi wangu, pamoja na hilo pia nili nia kuto kumkubalia mwanaume yoyote atakaye nitaka kimapenzi.
Changamoto nilizokutana nazo kwa uamuzi huo ni nyingi sana , wasichana wenzangu walinicheka na kuniambia nakosa raha duniani.
wavulana walifka mahali wakawa wana niogopa sana kutokana na majibu yangu.
Nilitengwa ktk mambo kadhaa na walio kuwa rafiki zangu.
Nilionekana kama mwanamke asiye na hisia ...na mengine mengi tu lkn hayakuni yumbisha.
Nafurahia maamuzi yangu sijawahi kuyajutia kamwe.
Na nitaendelea na msimamo wangu mpaka nitakapo funga ndoa...
Karibuni
Bikra akikomaa sana myaka 22 apo ataolewa ata na ndugu asa ya huyu atakua hana uadilifu husika ndomana apati mumeDanganya nafsi yako sio sisi! Maneno tu yanaashiria uzoefu wa kimahusiano. Ndondoo zinaonyesha ubikra hautolewi kwa kufanya ngono pekee Bali kwa vitu vingi mfano kubeba mizigo mizito, kupanua miguu sana, kuweka pamba au vizuia damu ya hedhi. Na vingine wengine wataongezea
Unayo?Huu uzi umejaa haraka!!!
Duuuh bado hujaolewa tuu, nahisi huwa upo serious sana kiasi kwamba wanaume wanakuogopa kama ulivyosema, mwanamke akiwa serious sana ss wanaume huwa tunaamin kwamba huyu ukimuweka ndani ya nyumba inaweza ikawa ni balaa ndani fulu kupelekana kijeshi, chamsingi jarib kupunguza userious na kuwa charming kwetu, sema likija suala kutoa utam kuwa muwazi tu, kama mtu anakupenda akuoe tuu, sema wanaume wengi siku hixi hupenda kuonja wengi huogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia, hata hivyo inaweza ukaea unatatizo kwenye homone zako aisee, maana kama mpaka umri huo hujonja dudu na upo vizur tuu kipsychologia mmm, wengi huonekana kama mapunguani kama genye zikizidi, all in all hongera kwa kujitunza kama ni kwelNina 29 sasa
Hvi mtu unaanzaje kusema wew ni bikra?!!..Na anaejitunza kwa hufu usemayo hawezi tangaza
Kama hujui jinsia ya mtu ITA MKUU yatosha.mh statement yako ya mwisho imenitisha dada yangu
sawa..kuamini ama kutoamini hainihusu.ukweli anajua mwenyewe.kwanini hutaki kuamini kama yeye ni bikra? ukweli wa mwili wake anaujua mwenyewe!! mushauri amtunzie tu mmewe
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Nawaalika mabikra wote tuliopo MMU tukutane hapa tupeane uzoefu, lengo kubadirishana mbinu zilizotusaidia kuutunza usichana wetu mpaka Leo hii.
Binafsi nilifanikiwa kuutunza usichana wangu kwa kuzingatia maagizo ya wazazi wangu, pamoja na hilo pia nili nia kuto kumkubalia mwanaume yoyote atakaye nitaka kimapenzi.
Changamoto nilizokutana nazo kwa uamuzi huo ni nyingi sana , wasichana wenzangu walinicheka na kuniambia nakosa raha duniani.
wavulana walifka mahali wakawa wana niogopa sana kutokana na majibu yangu.
Nilitengwa ktk mambo kadhaa na walio kuwa rafiki zangu.
Nilionekana kama mwanamke asiye na hisia ...na mengine mengi tu lkn hayakuni yumbisha.
Nafurahia maamuzi yangu sijawahi kuyajutia kamwe.
Na nitaendelea na msimamo wangu mpaka nitakapo funga ndoa.
Karibuni
Kwa sababu dadaa anajaribu kutudanganya! Na mala zote amino nakwambia wenye nacho huwa hawana matangazo sana! Huyu anajaribu kuwatega vijana .Huu uzi umejaa haraka!!!
bwawa unalo we na ukoo wako bombadia mkubwa wewe..bikra tupo kimya we kutwa kujitangaza.si useme tu unatafuta mume umeachika..unaaibisha
wanawake wenye stara zao.
umri wenyewe ushaenda vijana hawataki zenye makunyanzi utaolewa na mjane wa miaka hamsini labda mxiuuu.
tumia lugha ya stara nkujibu kwa stara...kenge wa bluu wewe.
Hahaaaa. Nipo Mom. Asante kwa kunikumbuka.
Asante mkuuWasikukatishe tamaa dada Mutumainie Mungu utashinda uwezi kupata furaha ya kweli kupitia uzinzi Bali furaha ya kweli yapatikana kwa kuliishi neno la Mungu.
Huyo Dada sie Mungu hata akaupangia yupi atakae kuwa mumewako .
Ni dharau tu na kiburi cha uzima kimemjaa lakini when it comes to God hana lolote
Hahahaha umemuumbua usikute hata hiyo bikra hana, kumbe ni kibibi










Virginity is not something you parade or solicit publicly to the society. Virginity is more than keeping your hymen intact until after marriage.
Virginity is a well guarded secret and a gift to your husband upon marriage.
Now when you hold it like a trophy for the world to see am left to wonder. Are you serious?
Cc
Raimundo
mahondaw