atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,545
- 9,774
Mbona unaguna?,upo upande upi unayo au hunaa?Tupo wenzake 🙂
Mmmmh 😕
Mbona unaguna?,upo upande upi unayo au hunaa?Tupo wenzake 🙂
Mmmmh 😕
Tena wake pekeakeUko peke yako mama..Jimwae mwae kwenye uzi wako
Galatia tunaomba maelezo ya hii

kitu au haihusianiTumekuona pita tu acha tukodoe machoNinapita tu jamani
Haujini jibu unapo abuduEndelea kuhisi tu
Usimgudge kwmba ameeka miaka 46 wakat majina tu sio sahihi je miaka mtu ataeka sahihi kweliAna miaka 46, wewe una miaka mingapi brother . . ? Tazama post # 61 . .
Bikra ya umri huo ni sisi wazoefu tuu ndio tunaweza kuzing'oa . .![]()
![]()
Hahahahhuu uzi upo peke yako dada hongera sana..
labda mimi bikira wa kiume nikupe company.. tujimwaye mwaya mabikira tupu tupeane na namba na kutembeleana
. Unataka ukamtooe, hahahakazi unayo...narudia tena bikra hawajitangazi..ibaki siri yako na muumba wakoo..bikra tupo wengi sana ila kimya sababu sio vema kimaadili...Hayo yoote uliyoongea haya husiani na nilichokiandika, maneno kama yako nilishaambiwa sana lkn sikubabaika na bado sitababaika najua ninacho kifanya. na uzuri mwenyewe eggyjay siyo Mungu na wala sijitunza ili nikufurahishe.
Nimefanya hivyo kumuheshimu Mungu na si vinginevyo , huko pm unaposema sina mpango napo ...mwisho nikuhakikishie aliyenisimamia kujitunza mpaka Leo ndiye atakaye nisimamia mpaka ndoa.
Hivi kama ipo intangazwa kwa lengo gani.Hongera ni adim sana saiz kukuta wanawake kama wewe. Haya sasa kati ya 10 tyar una trophy 2 za bure za kuitwa mke mwema kazana mamaa.
Me nnayo OG ila km baiskel inatoa basi sina 🙄Mbona unaguna?,upo upande upi unayo au hunaa?