sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Sababu ya kukataza.
1Timotheo 2:12 >> Simruhusu mwanamke yeyote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume (ibadani). Mwanamke anapaswa kukaa kimya.
Wasabato hawaruhusu mwanamke kufundisha kanisani au kuwa mchungaji cha ajabu wanatumia mafundisho ya moja wa waanzilishi wa kanisa hilo Hellen G White.
Tena utaratibu wa wasabato ni kwamba wana vitabu maalum vya mafundisho ya kila miezi mitatu, vitabu hivi vinaitwa lesoni na kila mwaka kuna lesoni 4, lesoni hizi zina mafundisho madogo ya kila wiki ambayo yamegawanywa zaidi usome kila siku, jumamosi asubuhi kabla ya ibada wanakutana kujadiliana hilo fundisho la wiki kwenye vikundi.
Sasa iweje kwamba Hellen aruhusiwe kufundishe ila wanawake wengine wakatazwe?
1Timotheo 2:12 >> Simruhusu mwanamke yeyote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume (ibadani). Mwanamke anapaswa kukaa kimya.
Wasabato hawaruhusu mwanamke kufundisha kanisani au kuwa mchungaji cha ajabu wanatumia mafundisho ya moja wa waanzilishi wa kanisa hilo Hellen G White.
Tena utaratibu wa wasabato ni kwamba wana vitabu maalum vya mafundisho ya kila miezi mitatu, vitabu hivi vinaitwa lesoni na kila mwaka kuna lesoni 4, lesoni hizi zina mafundisho madogo ya kila wiki ambayo yamegawanywa zaidi usome kila siku, jumamosi asubuhi kabla ya ibada wanakutana kujadiliana hilo fundisho la wiki kwenye vikundi.
Sasa iweje kwamba Hellen aruhusiwe kufundishe ila wanawake wengine wakatazwe?