Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,903
- 95,450
Mimi pia ni mwanaume mwenye mamlaka kamili👇😁😁😁
Mkuu ukishaweka hivyo akilini mwako hakika utakimbizwa mpaka akili ikae Sawa.Mkuu kama huna pesa hauwezi kuwa mwanaume mbele ya mwanamke wa kileo , zaidi utaonekana una ukoloni wa kiboya tu na mnoko mwenye kupenda kubweka kama mbwa ,labda upate mwanamke mbaya wa sura na umbo ambae hana namna ndo unaweza mkoromea na ufukara wako , cha msingi tutafute pesa watoto wazuri wapo.
Huu ujambazi sasa hahahaMimi pia ni mwanaume mwenye mamlaka kamili👇😁😁😁
View attachment 2501333
Hawajiamini chief, nadhani kutongoza ni kazi Sana kiasi kwamba wanaogopa kuanza upyaWrite your reply... Tatizo wanaume wengi wa ckuiz wamekuwa walaini Sana sijui ndo kuwaogopa wanawake ama nini
Kwahiyo hao wote ambao wanamiliki wanawake Wana hela za kutosha?Utasimamaje kama mwanaume wakati huna hela ila ilo lifanyake lazima mtu awe financial stable.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app