Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 7,081
- 13,053
Probability ya mwanaume kumcheat mkewe( kuwa na mchepuko) Ni almost 80%
Au niseme zaidi ya asilimia 80 ya wanaume wote Duniani Ni wanacheat kwa wapenzi/ wake zao.
Ila ukimuona mwanaume ambaye hacheat kwa mke/ mpenzi wake jua zipo sababu mbili kuu ambazo zinamfanya asiwe na mchepuko.
1. Mwanaume husika Hana pesa; Kawaida mwanaume akikosa pesa confidence yake huwa inashuka Sana.Yaani anakuwa mnyonge mnyonge na mawazo mengi Sana.
Kuwa na mchepuko bila pesa ni Jambo ambalo haliwezekani kabisa especially kwa mwanaume ambaye tayari ana mke. Mchepuko atakachokuwa anataka kwako zaidi Ni pesa tu na Wala sio Vinginevyo. Bora uwe unamlipia Kodi pamoja na kumpa hela ya matumizi yeye hatojali kuhusu mkeo. Mwanaume ukiwa haupo vizuri kiuchumi hutokuwa na confidence ya kutongoza wanawake.
2. Mwanaume aliyeshikilia Dini ipasavyo; Watu walioshikilia dini ipasavyo sijui ndo wanaitwaga walokole ama vipi I'm not sure about that.Ukimuona mwanaume ambaye hacheat mkewe basi jua huyo jamaa ameshikilia amri ya sita ( usizini) Kweli Kweli, Kama sio sababu ya Kwanza niliyoitaja hapo juu.
Watu walokole wana hofu na Mungu kwa hiyo sio rahisi uwakute wakivunja amri ya sita.
Au niseme zaidi ya asilimia 80 ya wanaume wote Duniani Ni wanacheat kwa wapenzi/ wake zao.
Ila ukimuona mwanaume ambaye hacheat kwa mke/ mpenzi wake jua zipo sababu mbili kuu ambazo zinamfanya asiwe na mchepuko.
1. Mwanaume husika Hana pesa; Kawaida mwanaume akikosa pesa confidence yake huwa inashuka Sana.Yaani anakuwa mnyonge mnyonge na mawazo mengi Sana.
Kuwa na mchepuko bila pesa ni Jambo ambalo haliwezekani kabisa especially kwa mwanaume ambaye tayari ana mke. Mchepuko atakachokuwa anataka kwako zaidi Ni pesa tu na Wala sio Vinginevyo. Bora uwe unamlipia Kodi pamoja na kumpa hela ya matumizi yeye hatojali kuhusu mkeo. Mwanaume ukiwa haupo vizuri kiuchumi hutokuwa na confidence ya kutongoza wanawake.
2. Mwanaume aliyeshikilia Dini ipasavyo; Watu walioshikilia dini ipasavyo sijui ndo wanaitwaga walokole ama vipi I'm not sure about that.Ukimuona mwanaume ambaye hacheat mkewe basi jua huyo jamaa ameshikilia amri ya sita ( usizini) Kweli Kweli, Kama sio sababu ya Kwanza niliyoitaja hapo juu.
Watu walokole wana hofu na Mungu kwa hiyo sio rahisi uwakute wakivunja amri ya sita.