MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
Hali ya uchumi ni mbaya sana!
Mwana Dar es salaam sasa kasahau kwao,
chupi anavulishwa kama tambara la deki,
kageuza uzazi kuwa public tv.....
*kiufupi confidence ikizidi lazima majanga yatatokea tu...*
mmmmhhhhhh