Wanawake hawaogopi kabisa UKIMWI?

Wanawake hawaogopi kabisa UKIMWI?

Hali ya uchumi ni mbaya sana!

Mwana Dar es salaam sasa kasahau kwao,

chupi anavulishwa kama tambara la deki,

kageuza uzazi kuwa public tv.....

*kiufupi confidence ikizidi lazima majanga yatatokea tu...*

mmmmhhhhhh
 
Bra-joe

Mkuu sasa kwanini wao hata kama anajua ni showtime tu wanakuwa hawakumbuki matumizi ya kondomu?

sasa huyo anayemgegeda na yeye kwa nini asizingatie hayo matumizi ya ndom? Huu ni uzembe wa wote wawili.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wangu, kwanini uache kutumia condom kwa sababu mmezoeana??hiyo sio sababu mkuu, acha condom kama mmezoeana na MMEPIMA AFYA ZENU, kabla ya hapo endelea kutumia condom ata kama mpo kwenye mahusiano kwa miaka 5, hakuna kuaminiana usawa huu.



Umenifurahisha kwenye hii style, lakini still ni salama zaidi bado ukiitumia kwa condom, acha kuonya ukali wa sumu kwa kuilamba.

Ndugu, unajua kama muathirika akitumia vidonge vya kuongeza maisha (ARV) kwa muda mrefu halafu akienda kupima anaonekana hana HIV? Lakini anaambukiza kama kawa. Siyo kila negative ni negative, zingine ni negapositive, kumjua negapositive ni mpaka uwe unaijua historia yake. Ukienda kupima na mtu kama huyu inakula kwako.
 
sasa huyo anayemgegeda na yeye kwa nini asizingatie hayo matumizi ya ndom? Huu ni uzembe wa wote wawili.
Uzembe uliokithiri!! Yaaani "mgegedaji" pamoja na kuwa hio "Ndom" anatakiwa kuivaa yeye, bado anaona jukumu la kuhamasisha uvaaji liwe la "mgegedwaji" :confused2:
 
Faida ya zinaa utaipata tu, endelea na uzinzi. Kumbuka Mungu yupo no matter what!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Inasikitisha sana kuona kwamba unamtongoza mdada na akili zake, na heshima zake, lakini mkifika kunako mchezoni, hadi mnakaribia kufanya tendo lenyewe yeye ana kuangalia tu.

Hakumbushii mambo ya matumizi ya condom wala kanakwamba suala la matumizi ya condom ni jukumu la mwanaume tu.

Hii tabia ya wadada kuwaachia wanaume waamue kama watumie kinga au la, inatokana na nini hasa?

Je, ni kuwaamini sana wanaume au ni kutokuogopa magonjwa, ikiwemo UKIMWI?

Kaka Crimea hivi nani anapaswa kuanza kudai condom? Anayedumbukiza au anayedumbukiziwa?
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli mleta mada Umesema.Yani mdada kasoma na anajielewa kabisa,hamkuwahi kuwa na mahusiano ndo kwanza mmekutana for the first time anakuangalia tu unamwingia daaa! hata kuhoji wala kusema vaa.
Kuna mwingine wa chuo ilibidi nimuulize mbona unaniruhusu kizembe? et sijui ww mwenyewe,mtoto akipatikana tutalea.Huh! anawaza mimba na c UKIMWI ati!
BADILIKENI,kwa taarifa yenu ni kwamba mwanaume ukimwambia sikupi mpaka uvae atavaa nguo akanunue.
 
Yaani unasubiri kuambiwa "vaa"?? maisha ni yako bwana, jiulize Mara mia ni wangapi amewaachia bila kuvaa condom. Badala ya kujiangalia mwenyewe unakuja kumfunglia thread, wewe huogopi ukimwi? Huenda wewe ni mwathirika na unashangaa jinsi ilivo simpo kusambaza ugonjwa wako.
 
Back
Top Bottom