Elijah
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 1,663
- 424
kwamba???Na condom ni bora nibaki na nyege zangu
kwamba???Na condom ni bora nibaki na nyege zangu
Inasikitisha sana
kuona kwamba unamtongoza mdada na akili zake, na heshima zake, lakini
mkifika kunako mchezoni, hadi mnakaribia kufanya tendo lenyewe yeye ana
kuangalia tu.
Hakumbushii mambo ya matumizi ya condom wala kanakwamba suala la
matumizi ya condom ni jukumu la mwanaume tu.
Hii tabia ya wadada kuwaachia wanaume waamue kama watumie kinga au la,
inatokana na nini hasa?
Je, ni kuwaamini sana wanaume au ni kutokuogopa magonjwa, ikiwemo
UKIMWI?
Yuck!!
kwanza ilibidi ufungwe kwa ushenzi huo. Hata aibu hamna. At least ujinga una tiba inaitwa elimu. Huoni Kama Ilikuwa risky sana, wewe kuambukizwa magonjwa au wewe kumeambukiza au kumtia mimba?
Huu ujinga sijui ni utoto wa akili ndo unaomaliza watu. Mnaogopa Ebola lakini ukimwi mnacheza nao tu. Sawa tu.