Wakuu
Katika maisha ya kunyanduana zamani wanawake ndio walikuwa wanahimiza sana matumizi ya kondom huku wanaume tukiwaletea ujanja na kuzitoboa lengo ile nyama kwa nyama litimie
Nowadays things are different, wanawake ndio wanazipinga condom yaani hawazitaki kabisa, nimejaribu kuwauliza baadhi wanamadai kuwa zinawaumiza kitu ambacho wanasayansi hawajawahi kutuambia popote pale
Nini sababu hasa za kisayansi zinawafanya wanawake wengi kuzikataa condom?
Je wanawake wa sikuhizi hawaoni ukimwi bado upo na tishio?
Je hawa viumbe hawafikiri kuhusu mimba zisizo tarajiwa?
Kupitia utafiti wangu huu mdogo kuhusiana na matumizi ya kondom, imenipelekea kuamini kwamba namba kubwa ya single mothers inatokana na kupuuzia matumizi ya kondom
Lakini pia hii ni nafasi kwa watafiti na wanasayansi waje watuambie kweli kama hizo kondom zinawaumiza wanawake au ni janja janja zao kama ilivyokawaida wakiingiziwa ukunu watapiga kelele na vilio vya kuigiza?
Kazi kwenu
Katika maisha ya kunyanduana zamani wanawake ndio walikuwa wanahimiza sana matumizi ya kondom huku wanaume tukiwaletea ujanja na kuzitoboa lengo ile nyama kwa nyama litimie
Nowadays things are different, wanawake ndio wanazipinga condom yaani hawazitaki kabisa, nimejaribu kuwauliza baadhi wanamadai kuwa zinawaumiza kitu ambacho wanasayansi hawajawahi kutuambia popote pale
Nini sababu hasa za kisayansi zinawafanya wanawake wengi kuzikataa condom?
Je wanawake wa sikuhizi hawaoni ukimwi bado upo na tishio?
Je hawa viumbe hawafikiri kuhusu mimba zisizo tarajiwa?
Kupitia utafiti wangu huu mdogo kuhusiana na matumizi ya kondom, imenipelekea kuamini kwamba namba kubwa ya single mothers inatokana na kupuuzia matumizi ya kondom
Lakini pia hii ni nafasi kwa watafiti na wanasayansi waje watuambie kweli kama hizo kondom zinawaumiza wanawake au ni janja janja zao kama ilivyokawaida wakiingiziwa ukunu watapiga kelele na vilio vya kuigiza?
Kazi kwenu