Mleta mada kama unafikiri kondom inazuia Ukimwi, unajidanganya. Swala la Ukimwi ni kumuomba tu Mungu akuepushe na maambukizi.
Ukimwi unaambukizwa kwa kuzoeana, unampata mpenzi leo, mtatumia ndom kwa miezi 3 mwezi wa 6 mnaachana na matumizi ya ndom mnacheza peku, baada ya miezi 2 mnakorofishana, kila mmoja anatafuta mpenzi mwingine, halafu anafanya kama alivyofanya mwanzo. Hivi ndivyo Ukimwi unavyoambukizwa.
Njia nyingine ya kupata maambukizi ni mpaka ukutane na aliye athirika, ingekuwa kucheza peku ndo kigezo kikuu cha maambukizi basi kila mtu mzima angekuwa ameathirika, kwani hakuna mtu ambaye hajawahi kucheza peku.
Mwisho, kuna sisi wabinafsi wa kungonoka, tunamuandaa mwanamke kwa muda mrefu, ukiingia kati akili, mawazo na nguvu zote ni kwenye tendo, ndani ya dakika 2 tu mchezo umekwisha na hakuna tena kurudia mpaka siku nyingine.
Angalizo: hii ya mwisho ni mpaka uwe unajielewa kifedha. Vinginevyo utaachwa mpaka basi.