Wanawake hawanipendi

 
Nakupongeza kwa kusema tatizo lako moja moja bila kupiga chenga angekuwa mwingine angesema tatizo lake kwa kupitia Rafiki yake.
 
Na mleta mada anatafuta mke
Dating site zimeanzishwa Kwa ajili ya watu kama hawa namna ya kumingo na wadada, kuna wanawake wengi tu wanataka kuolewa Leo kesho na mtu ili mradi awe mwanaume amstiri.

Yani mtu hajawahi kwenda kwenye function yoyote au event yoyote au wedding party ambako watu wengi mnakutana pamoja halafu unalalamika hupati Mke hivi unajuwa namna ya kukutana na watu tofauti wakiwa kwenye good mood?
 
 
Dah, walipa tozo MNA vituko sana.
Sio vituko mkuu, kama ni kweli yupo hivyo qlivyosema why akose mwanamke?
Ajichunguze tu...sijamaanisha yeye ni mchafu mi simjui
 
Tatizo pia muda,yaani natoka nyumbani asubuhi narudi Usiku so muda wa kufukuzia pisi unakuwa mdogo
Nenda vituo vya dala dala changua pis kali uwe unawapa lift kila siku jioni
 
Sio vituko mkuu, kama ni kweli yupo hivyo qlivyosema why akose mwanamke?
Ajichunguze tu...sijamaanisha yeye ni mchafu mi simjui
Tumuunganishe Kwa Stive Nyerere ampe totoz moja la Bongo movie akili imkae vizuri, hajawahi kunyonywa koni huyu akili bado zimeganda.
 
Tumuunganishe Kwa Stive Nyerere ampe totoz moja la Bongo movie akili imkae vizuri, hajawahi kunyonywa koni huyu akili bado zimeganda.
Akute na yeye hayupo romantic
 

Yani mimi
Nimecheka sana sio poa!
Daladala nzima imegeuka kunitizama
 
Akute na yeye hayupo romantic
Wale wanakufundisha wao, kuna kijamaa nakumbuka kilikuwa kinambinuwa Wema Sepetu yupo ikulu kinafanana na Pimbi lakini Tive akee akafanikisha deal, Wema alikuwa anafokowa mishiko tu, ni moja ya vitu Wema akifeli ajilaumu mwenyewe hakuweza kuutumia wakati wake vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…