Hawawezi kutoweka mkuu..unafikiri mwanamke akijichubua akawa mweupe mtoto atakaezaa anakuwa mweupe??Zisipofanyika jitihada za kutosha Wanawake weusi ni viumbe walio hatarini kutoweka.
Nenda Kampala ni wengi sanaWanawake hawa nipitapo barabarani,ama kwenye daladala au sehemu zozote zenye mkusanyiko wa watu.
Siwaoni...wamekuwa adimu sanaView attachment 443094View attachment 443095View attachment 443096
Wakuu mtupiamo picha za watu wa dizaini hii walau tufaidi hapa..maana huko uraiani hawapo.
Hadi raha mtoto mwaah.
Itanibidi niende mkuu nikawaone liveNenda Kampala ni wengi sana
Kampala ni wengi lakini hata kule kwa wana Katerero wapo.Nenda Kampala ni wengi sana
Sawa mkuu..sema wakija town wanaweka manywele ya marehemuKampala ni wengi lakini hata kule kwa wana Katerero wapo.
sHAKUJUZA PA KUWAPATA .. WA MIJINI NI WAONGO WOTE ... MALA MAWIGI VICHWANI, MARA .. OH! VURUGU TUPUItanibidi niende mkuu nikawaone live
Ninamiss sana kuwaona wanawake halisi..kama walivyoumbwa na Mwenyezi
sHAKUJUZA PA KUWAPATA .. WA MIJINI NI WAONGO WOTE ... MALA MAWIGI VICHWANI, MARA .. OH! VURUGU TUPU
Nakutumia ili uamini mkuuNitupiamo kapicha pm
hawawezi kutoweka maana tupo tunaojikubali and we are very proud of being black. Rangi adimu hiyo.Zisipofanyika jitihada za kutosha Wanawake weusi ni viumbe walio hatarini kutoweka.
hawawezi kutoweka maana tupo tunaojikubali and we are very proud of being black. Rangi adimu hiyo.
Nitaamini nikikuona live!toliho vajameni hatujaisha
Karibu, niko tu hapa Buzuruga ni miongoni mwa wahanga tuliovunjiwa vibanda vyetu vya mama lishe, nauza kwa kificho kificho hahahahahNitaamini nikikuona live!
Tupia yako Pic tukuone!
kUMBE NDO WEWE UNAYEPIKA PALE KARIBIA NA MATAA YA BUZURUGA?Karibu, niko tu hapa Buzuruga ni miongoni mwa wahanga tuliovunjiwa vibanda vyetu vya mama lishe, nauza kwa kificho kificho hahahahah
YA MUNGU MENGIhahah mkuu nitupie picha tena! vuta subira inaweza kutokea siku tukaonana kwa bahati mbaya. Utaniona.