al-baajun
JF-Expert Member
- Sep 11, 2015
- 297
- 225
Ntafurahi tukikutana 🙂Tupo wengi tu labda haijatokea bahati tukakutana
Ntafurahi tukikutana 🙂Tupo wengi tu labda haijatokea bahati tukakutana
hahahaha tena napika ugali mwekundu wa Musoma tehe tehe tehe, hapa karibu na bajaji, njia ya kwenda Mahina kuna kibao cha shule za Alliances hahahaahhhkUMBE NDO WEWE UNAYEPIKA PALE KARIBIA NA MATAA YA BUZURUGA?
Napita nitunzie ugali na nyama ya kukaanga - natokea Nyasaka centre.hahahaha tena napika ugali mwekundu wa Musoma tehe tehe tehe, hapa karibu na bajaji, njia ya kwenda Mahina kuna kibao cha shule za Alliances hahahaahhh
Karibu ila nauza kwa kificho naogopa mgambo hahahahahahaahaNapita nitunzie ugali na nyama ya kukaanga - natokea Nyasaka centre.
Napita hapo kuja kuhakikishahahahaha tena napika ugali mwekundu wa Musoma tehe tehe tehe, hapa karibu na bajaji, njia ya kwenda Mahina kuna kibao cha shule za Alliances hahahaahhh
kIFICHO NDO TAMU... HATA ILLLEEEEEEEEE HUWA NI YA KIFICHONIKaribu ila nauza kwa kificho naogopa mgambo hahahahahahaaha
nimependa signature yako nami naongeza kidogo.Tupo team kunyoa
karibu sana Sha-mutepNapita hapo kuja kuhakikisha
Safi sana huyu
Yani hadi udenda wanichuruzika aisee.
Hapa J.f kweli mpo wengi...si maandishi tu!Tupo wengi tu labda haijatokea bahati tukakutana
Haaaa acha hizo basiTupo sana tu na tunajikubali Ile mbaya
Nitupie picha pmTupo sana tu na tunajikubali Ile mbaya