BB_DANGOTE
JF-Expert Member
- Sep 25, 2023
- 361
- 522
Ni Maamuzi poor yanayo mjengea Tabia na kumfanya kuwa na poor mind,We hutamani maisha mazuri ?
Kwanini unasema asiyejishughulisha ni poor minded?
Hayo ni maamuzi ya mtu aliye na akili timamu na sababu zake sidhani kama atakuwa poor minded
I don't think so
That's can't be a valid reason
Kama ajishuhulishi na chochote (Mvivu) na anatamani maisha Mazuri,
Huyo hawezi akawa msaada popote pale
Hata akiolewa Bado ata rudisha familia yake nyuma kwa Sababu ya Tabia na mtazamo wake wa Maisha,
Hili ni wimbi la Wanawake wengi wa Sasa unakuta mwanamke hawezi kufanya Kazi yoyote, hawezi biashara, Aja jiendeleza Kwa chochote, Hana uwekezaji wowote na Bikra Hana
Huyo hatakiwi kuolewa popote Kama Mwanaume Anahitaji Familia yenye Furaha.