Wanawake funguenu PM, tunapata tabu!

Wanawake funguenu PM, tunapata tabu!

Mkuu hujawahi kumwomba namba mwanamke ambaye umeonana naye on the spot?

Approach yako ndiyo inayokubeba, siyo swala la kumzoea. Otherwise hata hiyo PM itakuwa wazi na hautajabiwa.

Learn the language, learn the style, and be confident.
Sometimes they speak English out here and it's a completely different language in there
 
Kufunga PM ni kujipandisha dau, yaani utambue kuwa anasumbuliwa sana! Ila wengine ID na avatar za kike ila sio wakike.
Dah... yaani...sijui wanajisikiaje hao wasio wa kike wanapotokewa na wasio wa kike wenzao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom