RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,896
- 129,995
Kwanini ulifunga?Hahahaha, dah mie niliwahi kufunga kwa miaka km 7 hivi ,nimeifungua karibuni tu
Kwanini ulifunga?Hahahaha, dah mie niliwahi kufunga kwa miaka km 7 hivi ,nimeifungua karibuni tu
Daah huu Uzi Leo umenifanya nipate shavu la wageni PmUsinione tena?? Nifungulie kwanza hebu plz


Alafu kila siku unanisumbua kumbe mjuviYou need to master the art of making e'm come to your PM.
When the hunter gets hunted, the game gets real and fun!

SawaaHahahaha, ni kupiga mastory tu town
Nakaribia sasa hiviSawaa
Sijaangalia, ushafungua kumbe??Daah huu Uzi Leo umenifanya nipate shavu la wageni Pm![]()
😄
Ndiyo raha ya jf. Pm kumi tofauti kumbe ni za watu wawiliSijaangalia, ushafungua kumbe??
Hahahaahhahahaha. Wengine wenyeji
ndukiiiiiiii

Mambo ya kikazi zaidi Mkuu, nimeifungua hata miezi 3 hainaKwanini ulifunga?
Mweeh, nimeikopi sehemu madame!Alafu kila siku unanisumbua kumbe mjuvi![]()
Aisee....! Kikazi...PM...si ungetoka JF kabisa? Wengine hatufungi au hatuachi kuingia JF kwasababu za kikazi.Mambo ya kikazi zaidi Mkuu, nimeifungua hata miezi 3 haina
Imekufanyia nini?Mweeh, nimeikopi sehemu madame!
Anyway, naishukuru serikali ya awamu ya tano!
HahahahaNdiyo raha ya jf. Pm kumi tofauti kumbe ni za watu wawili![]()
Muda wa mazoezi huu jamani
😀😀😀😀😀😀😀Ndiyo raha ya jf. Pm kumi tofauti kumbe ni za watu wawili![]()
Hahahaha, hongera SanaAisee....! Kikazi...PM...si ungetoka JF kabisa? Wengine hatufungi au hatuachi kuingia JF kwasababu za kikazi.
Bro, huu muda uliotumia kunijibu mimi ungetosha kabisa!Muda wa kufanya hayo yote ili at the end akuje mwenyewe PM. Ama hunting to be hunted game huitaji muda?