Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,949
- 183,431
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Imenifungulia PM ya HS!
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Wewe tu ulikuwa domo zege usimsingizie magu.
Haya fanya haraka mahari napokea mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Imenifungulia PM ya HS!
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Mzee wa VAR huyo, penalty anajitengea mwenyewe!Aisee....! Kikazi...PM...si ungetoka JF kabisa? Wengine hatufungi au hatuachi kuingia JF kwasababu za kikazi.
Mimi namchora tu.....huyu anapiga cross halafu anaenda kufunga yeye!Mzee wa VAR huyo, penalty anajitengea mwenyewe!
Ha ha sawa.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Usiniambie, halafu password sijaiona ujue. I just thought of reporting [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sawa, ila mahali ni mpaka tupate mtoto wa tatu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe tu ulikuwa domo zege usimsingizie magu.
Haya fanya haraka mahari napokea mimi.
Unaweza kuta tayari upo pm kwangu sema kwa I'd nyingine.Hahahaha
Basi endelea kuishukuru serikali ya awamu ya tano maana bado una safari ndefu sana.Sawa, ila mahali ni mpaka tupate mtoto wa tatu!
Kikao chetu cha juzi cha wanaume tumekubaliana hakuna kuuziwa mbuzi kwenye gunia!
Cha muhimu kufika salama!Basi endelea kuishukuru serikali ya awamu ya tano maana bado una safari ndefu sana.
badilisha jina basi,kumbe umepatikanaNampenda sana mpenzi wangu.hata jf naiona ovyoovyo siku hizi
Safari ina mengi sana, na nakuona unakwenda Mbeya kwa guta.Cha muhimu kufika salama!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwani kosa langu liko wapi?Safari ina mengi sana, na nakuona unakwenda Mbeya kwa guta.
Hahahahahahah yaani uzalendo umekushinda kabisa..ukaona uje na uzi
Sio kujipandisha dau,kuna pm nyingine zinakuja za watoto wa kindagate zinatuvunjia heshima.Kufunga PM ni kujipandisha dau, yaani utambue kuwa anasumbuliwa sana! Ila wengine ID na avatar za kike ila sio wakike.
Hapana hauna kosa, endelea tu na safari[emoji23][emoji23]Kwani kosa langu liko wapi?
Mbona figisu haziishi we mwanamke?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hvi dadake umenifungia pm hadi mimi! ?[emoji23][emoji23][emoji23]
Nice poemLadies,
Virtually all men suffer from the same problem. Sexual attraction isn’t something to be ashamed of nor something to attempt to control. Your body wants things, and the only question is whether or not it is wise for you to actually pursue those things.
Trying to smother your desires is truly foolish, however.
Any way, I’ve been trying online dating for a year or so now. I sent my first message nervously, wondering what reply might come back and was slightly surprised! Every thing went just perfect!!
I carefully read every profile and posts before choosing which member to PM, then send them a message responding to the information they’ve provided and asking them questions to find out more abt them.
Tatizo ni moja!! Wadada karibu wote wanivutiao hapa, hasa MMU Wame Lock PM zao. I’m entirely stuck now!!
Tafadhali Ladies Unlock Your PMs. Mnatupa Taabu!!
View attachment 1104564
Hahahaha hatuonani siku hzi!!!!Ila mimi na wewe tunajua pa kukutana nikiwa na jambo langu nitakupa code tu.Hahahahahahah kaka ake tatizo watu wanajaa pm huko me nikachoka nikaona niweke kakufuli tu kwa usalama wangu. Sasa wewe nitakuwa nakufungulia siku moja moja my brother hahahahah
Hahahaha, mie Nina ID hii hii kongwe,mwaka wa kumi huu JFUnaweza kuta tayari upo pm kwangu sema kwa I'd nyingine.
Ignore. Usitukoseshe woteSio kujipandisha dau,kuna pm nyingine zinakuja za watoto wa kindagate zinatuvunjia heshima.