bategereza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 3,314
- 1,072
Ingefaa baada ya suala la katiba tukae kama taifa na kujiwekea vipaumbele na adhabu kwa watakaokiuka. Mfano hawa watu waliotajwa wanafanya uchuuzi tu. Kuwepo na uzalishaji na masoko, kuwe na viwanda vya umma na uteuzi usiwe wa raisi ili atakayeshindwa atolewe mara moja.Tutake tusitake kama tunataka maendeleo ya watu turudi kwenye sera za ujamaa ulioboreshwa.
Mgalatia una busara sana. keep it up bro.