Wanawake acheni unafiki

Wanawake acheni unafiki

Tafuta kama kua supermakert utapata hiyo bidhaa, unaweza kuwa na pesa yako na ukaikosa pia.
Sio kila bidhaa ipo supermarket japo kuwa hata papuchi supermarket zipo. Kwani hao wahudumu wa supermarket si wanauza kwa mitindo hiyo hiyo tofauti?

Hate me at your own risk!
 
Sio kila bidhaa ipo supermarket japo kuwa hata papuchi supermarket zipo. Kwani hao wahudumu wa supermarket si wanauza kwa mitindo hiyo hiyo tofauti?

Hate me at your own risk!
Kwa attitude hiyo hata uwe na pesa utahangaika sana.
 
Kuwa na mama au dada hakubadilishi ukweli dada na nyie mnaposema wanaume wote matapeli haimaanishi hamna baba na kaka zetu. Tulia sindani ikuingie muuzaji wewe

Hate me at your own risk!
Uzuri siuzi halafi siku ukikua utajua usichukulie maneno yayoongelewa na wasichana ni wanawake wanafikiria pia ukikua utaamka usingizini
Sababu mtu anaachwa na anapata mtu mwingine na kupenda kuliko alivyopenda mwanzo
Pole yako
 
Naelewa sana kwa kuwa honey (asali) inauzwa. Uzeni tu mueleweke acheni unafiki

Hate me at your own risk!
Ndiyo tunauza kweli basi msilalame kila mtu na mbinu zake za ufanyaji biashara, wengine wanafungua maduka kabisa na wengine wanauzia majumbani.

Tuacheni jamani yaani ufujwee weee bure bure tu hapana aisee.
 
Kwa attitude hiyo hata uwe na pesa utahangaika sana.
Nahangaishwa na nini wakati pesa ipo na bidhaa mnazo? Wanahangaika ambao hawajajua. Wale wanaojidai wanapenda kwa moyo wakati nyie wenyewe mnasema kabisa pesa ndo kila kitu hamuangalii sura. Sasa mimi mimi mwenye hela zangu si nawaokota tu kwa mafungu?
 
Nahangaishwa na nini wakati pesa ipo na bidhaa mnazo? Wanahangaika ambao hawajajua. Wale wanaojidai wanapenda kwa moyo wakati nyie wenyewe mnasema kabisa pesa ndo kila kitu hamuangalii sura. Sasa mimi mimi mwenye hela zangu si nawaokota tu kwa mafungu?
Nenda urudi hapa ukishabalehe.
 
Uzuri siuzi halafi siku ukikua utajua usichukulie maneno yayoongelewa na wasichana ni wanawake wanafikiria pia ukikua utaamka usingizini
Sababu mtu anaachwa na anapata mtu mwingine na kupenda kuliko alivyopenda mwanzo
Pole yako
Uuze mara ngapi dada? Sema hauuzi kwa njia iliyozoeleka. Labda umdanganye maiti. Nyote wauzaji tu sema mnatumia maneno tofauti katika uuzaji wenu.
 
Ndiyo tunauza kweli basi msilalame kila mtu na mbinu zake za ufanyaji biashara, wengine wanafungua maduka kabisa na wengine wanauzia majumbani.

Tuacheni jamani yaani ufujwee weee bure bure tu hapana aisee.
Nimekuelewa vuzuri. Na hiki ndo tuachokitaka dada. Unafiki haufai.
 
Kila mwanamke ukimfata ukimwambia nikupe pesa unipe 'kikojoleo' anakasirika na matusi juu, anakuambia "mimi siuzi"! Lakini ukimtongoza akikubali anaomba pesa.

Wadada acheni unafki!
Bepari la kihaya.....!
Kote ni kuuza. Kuhonga ni neno mbadala. Ndo maana hata kuhonga maofisini kiuhalisia ni 'kununua haki'. Kiufupi wanawake wote wanajiuza ila wanatofautiana mbinu na uuzaji wao
 
Tafuta kama kua supermakert utapata hiyo bidhaa, unaweza kuwa na pesa yako na ukaikosa pia.
Dada sio rahisi kiivyo kama unavyodhani,ukiwa na Pesa Papuchi ni Lazima upate labda kama interest na hayo makitu..!!!
 
Unaweza kuchukulia unavyotaka wewe, wala hamna wa kubadili mawazo yako. Ila ukumbuke kila kizuri kinagharamiwa. Na sio kila king'aacho ni dhahabu.
 
Unaweza kuchukulia unavyotaka wewe, wala hamna wa kubadili mawazo yako. Ila ukumbuke kila kizuri kinagharamiwa. Na sio kila king'aacho ni dhahabu.
Sisi hatukatai kugharamia. Nadhani sijaeleweka! Tunakataa unafiki! Sema tu unauza mzigo watu tupande bei. Kwa nini nikukwambia nipe 'mzigo' nikupe hela ukatae na kutokwa na povu na matusi juu eti 'siuzi' wakati sasa hivi unasema kila kizuri kinagharamiwa? Kugharamiwa in terms of money ni kununua! Elewekeni tu acheni kutuzungusha. Mtu unajipinda unatongoza na mashairi yote unayamaliza. Miezi hadi miaka haujakubaliwa hadi unatumia nguvu ya ziada alafu mwishi wa siku unaniuzia! Sasa si bora ungekuwa muwazi tu tukaokoa muda na resources?
 
Sisi hatukatai kugharamia. Nadhani sijaeleweka! Tunakataa unafiki! Sema tu unauza mzigo watu tupande bei. Kwa nini nikukwambia nipe 'mzigo' nikupe hela ukatae na kutokwa na povu na matusi juu eti 'siuzi' wakati sasa hivi unasema kila kizuri kinagharamiwa? Kugharamiwa in terms of money ni kununua! Elewekeni tu acheni kutuzungusha. Mtu unajipinda unatongoza na mashairi yote unayamaliza. Miezi hadi miaka haujakubaliwa hadi unatumia nguvu ya ziada alafu mwishi wa siku unaniuzia! Sasa si bora ungekuwa muwazi tu tukaokoa muda na resources?
Ndio maana nikasema siwezi badili mawazo yako. Kama unajua wapo wanaouza direct kwa nini upoteze muda kutongoza nenda kanunue huko
 
Ndio maana nikasema siwezi badili mawazo yako. Kama unajua wapo wanaouza direct kwa nini upoteze muda kutongoza nenda kanunue huko
Hata indirect ni kujiuza.
 
Ndiyo tunauza kweli basi msilalame kila mtu na mbinu zake za ufanyaji biashara, wengine wanafungua maduka kabisa na wengine wanauzia majumbani.

Tuacheni jamani yaani ufujwee weee bure bure tu hapana aisee.
Sema bei gani kwa kipimo kipi...
 
Supermarket za bidhaa hii zipo na zinaitwa Madanguro.... unaingia unajichagulia tu
Supermarket zote zinalipa kodi, zinaajiri wafanyakazi wanaolipa kodi, kuna mfuko wa NSSF pia wa wafanyakazi sasa huko kwenye madanguro kodi yao inakwenda wapi?
 
Back
Top Bottom