Wanawake acheni unafiki

Wanawake acheni unafiki

Kote ni kuuza. Kuhonga ni neno mbadala. Ndo maana hata kuhonga maofisini kiuhalisia ni 'kununua haki'. Kiufupi wanawake wote wanajiuza ila wanatofautiana mbinu na uuzaji wao
Yes wanawake wote wanajiuza hata mamaako alijiuza tena kwa bei chee ndo ukapatikana wewe. Wavulana mna tabu sana.
 
Yes wanawake wote wanajiuza hata mamaako alijiuza tena kwa bei chee ndo ukapatikana wewe. Wavulana mna tabu sana.
Nami sishindwi kumtaja mama yako ila ni busara tu nimetumia iki suala la mama kuwa kati ya hao wanawake libaki kichwani mwako. Ila nikutoe tu wasi wasi kuwa hata mama yako pia anajiuza hadi leo. Unahisikiaje kujua hili? Ha ha haaaa!

Hate me at your own risk!
 
Supermarket zote zinalipa kodi, zinaajiri wafanyakazi wanaolipa kodi, kuna mfuko wa NSSF pia wa wafanyakazi sasa huko kwenye madanguro kodi yao inakwenda wapi?
Hao wauzaji wa supermarket ndo wanauza hiyo bidhaa sasa! Hatuzungumzii madanguro tunazungumzia bidhaa yenyewe inayouzwa na muuzaji ni nani. Hatuzungumzii inauzwa mahali gani hapa

Hate me at your own risk!
 
Ni suala la serikali kuset kodi kwa madanguro kama supernarket tu. Kama wanavyofanya nchi za wenzetu wanaojua kukusanya kodi.

Hate me at your own risk!
 
tukitoa bure mnasema yuko cheap na hajiamini.. mkiuziwa nako mnalalamika!!!?
 
Kote ni kuuza. Kuhonga ni neno mbadala. Ndo maana hata kuhonga maofisini kiuhalisia ni 'kununua haki'. Kiufupi wanawake wote wanajiuza ila wanatofautiana mbinu na uuzaji wao
Nimefurahi umeligundua hili, hata mama yako alijiuza sana ukute mpk sasa anaendeleza biashara kwa maneno tofauti tu, hakika wanawake tuache unafiki.
 
Kote ni kuuza. Kuhonga ni neno mbadala. Ndo maana hata kuhonga maofisini kiuhalisia ni 'kununua haki'. Kiufupi wanawake wote wanajiuza ila wanatofautiana mbinu na uuzaji wao
sundoka ututake radhi kaka, wanaojiuza wanajulikana hata wanakouzia 'vikojoleo' vyao kwa hiyo kugeneralize kuwa wanawake wote sio sawa, inamaana hata mzazi wako wa kike anauza kwa mzazi wako wa kiume🙁
 
Nami sishindwi kumtaja mama yako ila ni busara tu nimetumia iki suala la mama kuwa kati ya hao wanawake libaki kichwani mwako. Ila nikutoe tu wasi wasi kuwa hata mama yako pia anajiuza hadi leo. Unahisikiaje kujua hili? Ha ha haaaa!

Hate me at your own risk!
Busara gani uliotumia hapo kwani mama ni mwaume? Si mwanamke pia na umesema wanawake wote wanajiuza . kama ndo ivo basi mama zetu wanajiuza kwa kuwa ni wanawake wale sio wanaume. Alafu mwanaume mwenye busara na kauli nzuri nzuri hauziwa hata siku moja. Ebu kua kua kwanza labda uko mbele utaelewa.
 
Kuna kadada nilikuwa nacho...ukishakapitia tu kanaomba ela ya matumizi, ukikipa buku 2000 ya nauli ya bodaboda kananuna. Kalinikera ndani ya muda mfupi nikakapiga kibuti.Wadada mjifunze kuomba siku kadhaa baada ya mechi ili mjitofautishe muuzaji na muhongwaji
 
Nimefurahi umeligundua hili, hata mama yako alijiuza sana ukute mpk sasa anaendeleza biashara kwa maneno tofauti tu, hakika wanawake tuache unafiki.
Kibaya zaidi ni kwamba mama yako anajiuza hadi leo. Nashauri habari za mama ziweke pembeni. Punguza jazba ujadili ishu iliyopo mezani vinginevyo nikijibu kwa style unayoianzisha wewe nitakuumiza tu mkuu. Ukweli ndo huo kwamba mnajiuza tu kwa njia tofauti. Hata mama yako anajiuza tu hadi leo. #Huu mchezo hauhitaji hasira

Hate me at your own risk!
 
Nahangaishwa na nini wakati pesa ipo na bidhaa mnazo? Wanahangaika ambao hawajajua. Wale wanaojidai wanapenda kwa moyo wakati nyie wenyewe mnasema kabisa pesa ndo kila kitu hamuangalii sura. Sasa mimi mimi mwenye hela zangu si nawaokota tu kwa mafungu?
Ungekuwa mbali sana kama ungekuwa na hiyo iitwayo pesa.
 
tukitoa bure mnasema yuko cheap na hajiamini.. mkiuziwa nako mnalalamika!!!?
Hatusemi mtoe bure. Nani anataka vya bure? Tatizo muwe wawazi. Hapa ishu ni unafiki mkuu. Elewa vizur content ya uzi wenyewe

Hate me at your own risk!
 
sundoka ututake radhi kaka, wanaojiuza wanajulikana hata wanakouzia 'vikojoleo' vyao kwa hiyo kugeneralize kuwa wanawake wote sio sawa, inamaana hata mzazi wako wa kike anauza kwa mzazi wako wa kiume🙁
Unaosema wanajiuza ni wapi hadi wewe uonekane si miongoni mwao? Na unazungumzia kujiuza kupi?

Hate me at your own risk!
 
Beauty isn't about having a pretty face. It's about
having a pretty mind, a pretty heart, and a pretty
soul.. !!
 
Kibaya zaidi ni kwamba mama yako anajiuza hadi leo. Nashauri habari za mama ziweke pembeni. Punguza jazba ujadili ishu iliyopo mezani vinginevyo nikijibu kwa style unayoianzisha wewe nitakuumiza tu mkuu. Ukweli ndo huo kwamba mnajiuza tu kwa njia tofauti. Hata mama yako anajiuza tu hadi leo. #Huu mchezo hauhitaji hasira

Hate me at your own risk!
Kwahakika hautaji hasira ndio maana nikasema mama yako pia anaiuza ni mwanamke kama sie na mbinu alizozitumia ndio ambazo tunaziendeleza, na ndiye aliyekufungua macho kwanini nimweke kando? Why hating You while you have a mother doing the same shit, am Loving it all the way.
 
Hata indirect ni kujiuza.
Sio kujiuza ni jukumu lako kunitunza, unaponitongoza sio kwamba wewe unakuwa huna malengo na mimi, lazma nitakuwa na wewe tu sitakuwa na mwanaume mwingine unakwepaje kunisaidia nitakapo kwama??! Eti najiuza wale wanaolala na wanaume sita na kuendelea kwa siku wewe utawaitaje?? Acha dharau
 
Lakini hatuzungumzii kufika mbali. Tunazungumzia kupata papuchi kirahisi. Usiruke ruke. Tiririka na uzi mkuu.

Hate me at your own risk!
Leo muda huu ungekuwa unazungusha kiuno lkn uko jf huna papuchi ya kugegeda, ungekuwa mbali mno ninakuhakikishia kama pesa ya kugawa shukurani ungekuwa nayo. Bado niko kwenye mstari mkuu najua huelewi kirahisi
 
Back
Top Bottom