talking about money mnayonunulia kumbe ni sh.2000🙁🙁 no wonder....Kuna kadada nilikuwa nacho...ukishakapitia tu kanaomba ela ya matumizi, ukikipa buku 2000 ya nauli ya bodaboda kananuna. Kalinikera ndani ya muda mfupi nikakapiga kibuti.Wadada mjifunze kuomba siku kadhaa baada ya mechi ili mjitofautishe muuzaji na muhongwaji