Wanawake acheni unafiki

Wanawake acheni unafiki

Supermarket zote zinalipa kodi, zinaajiri wafanyakazi wanaolipa kodi, kuna mfuko wa NSSF pia wa wafanyakazi sasa huko kwenye madanguro kodi yao inakwenda wapi?
Kodi inakwenda kwa wanaoyaendesha..... kama wale wengine
 
Huenda ulichoandika kina madhaifu ila lengo kuu la huu uzi kama umeusoma vizuri sio kukwepa kuhudumia/kutoa hela! Sisi tunajua kwamba ni jukumu letu kutafuta hela ili tuwakule (na ndo sifa ya mwanaume kamili) maana hakuna cha bure!
Tatizo/lengo kuu la huu uzi kama heading yake ilivyo ni kukataa kitu "unafiki" wenu. Hela nitakupa sawa sasa kwa nini nikikwambia nikupe hela unipe mzigo unatokwa na povu hadi matusi? Wakati huo huo nikikutongoza ukanikubali bado unaomba hela?

Hate me at your own risk!
Kumbe ukinihudumia najiuza, teh teh teh!!,sikujuamo hilo mnunuaji oooh sorry mteja
 
Bado mnalialia tu!
Huelewi. Hela mtapewa na sisi tunazitafute ili tuwape mtupe huduma. Sasa kwa nini tukiwambia mtupe hiyo huduma tuwape hela mnatoa povu alafu tukiwatongoza baadae mnaomba hela kabla ya kutoa mzigo? Sasa si yale yale tu? #unafiki ndo shida. Kuweni wawazi tu mnataka hela ndo mtoe mbunye
 
Huelewi. Hela mtapewa na sisi tunazitafute ili tuwape mtupe huduma. Sasa kwa nini tukiwambia mtupe hiyo huduma tuwape hela mnatoa povu alafu tukiwatongoza baadae mnaomba hela kabla ya kutoa mzigo? Sasa si yale yale tu? #unafiki ndo shida. Kuweni wawazi tu mnataka hela ndo mtoe mbunye
Wewe toa hela hilo lingine achana nalo
 
Wewe toa hela hilo lingine achana nalo
Lipi hilo? Yaani unihangaishe miezi 6 hadi mwaka nakupigia misele na gharama zangu za kukufatilia ambazo nlikuwa sikulipi wewe alafu alafu nikupate utake biashara ile ile? Sasa kwa nini nlipotaka kukupa hela ili unipe hiyo ndude ulikataa na leo hii unataka tufanye biashara ile ile? Ushapoteza hela zangu ambazo huenda ningekupa wewe kama ungekubali mapema, nshapoteza muda wangu kwa ajili ya unafiki wako wa kutosema tu unataka hela?
 
Back
Top Bottom