ngozimbili
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 1,398
- 1,006
Kila jamii katika dunia yetu hii ina utamaduni wake.na sisi waafrika tuna utamaduni wetu.lakini kwa siku za karibuni utamaduni wetu umeingia katika mapambano makali na tamaduni zingine hasa za magharibi.na mapambano makubwa yapo kwenye mavazi hasa ya wanawake.tatizo linakuja pale mitindo ya mavazi ya wanawake wa kimagharibi imebuniwa kulingana maumbile yao miembamba.na wanatuletea kwetu huku ambako wanawake wa kiafrika mashaallah maumbile yao yamejazia ki sawasawa! Kwa hio wakivaa skin tight,model au mini.wanakuwa very very sexy sasa kazi inakuwa ngumu kwetu wanaume tunashindwa kuwa makini barabarani na majiani,maumbile ya wanawake wa kiafrika jamani ni mazuri mno kuliko ya wanawake wengine katika sayari hii(sijui kama wenyewe wanajua).kibaya zaidi demu anapita nguo ya kubana mgongo wa haja,hips ndio usiseme ANAVYOTEMBEA......AKINA MAMA ACHENI MAMBO WAUME MNATUMALIZA!