Lizzlyn
Member
- Nov 9, 2015
- 55
- 25
Huyo kweli anapendeza zaidi na natural hairMaamuzi magumu
Gabrielle Union: "I took my weave out and got creative with my natural hair"
Huyo kweli anapendeza zaidi na natural hairMaamuzi magumu
Gabrielle Union: "I took my weave out and got creative with my natural hair"
Jamani mbona mi si mkali Niko normal tu
Muandiko wako unakutafsiri
Teh teh..Mpaka mtu unajiuliza hii ni sura au painting board
Jamani mbona mi si mkali Niko normal tu
Haiwezekani hapo itakuwa too muchWabunge walijadili issue hii mwaka jana kama sikosei
Haiwezekani hapo itakuwa too much
Walikuwa wanaongelea hizo fake fair na madhara yake
Hapana mi nimekosoma muda mrefu tu unaonekana mzuri kichwani na figure ipo ila Mkorofi korofi hivi.
Watu wataanza kuuliza mbona pombe na sigara zina madhara piaWalikuwa wanaongelea hizo fake fair na madhara yake
Wewe unatakiwa uwe na mahusiano na mkurya orijino, mbona utakuwa mpole
Wakurya wako so meanWewe unatakiwa uwe na mahusiano na mkurya orijino, mbona utakuwa mpole
Hao watu sio labda umkute mpoleHahaaaa nitamnyoosha tu huyo mkuria hamna mkate mgumu mbele ya chai.
Sonko Jr. kuna video nimeiona insta now nikakumbuka uzi wako..Dada amejiachia anacheza wig likadondoka..Shosti ake ili kumstill kaamua kulificha kwenye chupi watu wasilione
Heaven Sent umekutana na hiyo video??..
Sonko Jr. kuna video nimeiona insta now nikakumbuka uzi wako..Dada amejiachia anacheza wig likadondoka..Shosti ake ili kumsitiri kaamua kulificha kwenye chupi watu wasilione Heaven Sent umekutana na hiyo video??..