Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Heaven Sent akiongea nyakoo anaambiwa hayamuhusu na anatumia lugha mbaya sijui, kweli nimeamini kunya anye sonko akinya nyakoo kaharisha.
Ngoja nione kama baada ya huu uzi maweavs yataisha
Hivi unafikiri haya madongo ya weaves or magutambi yatabadili mtu? Kila mtu ana uhuru wa kuishi atakavyo as long as havunji sheria ya nchi. Tupigeni tu story hapa tuenjoy maisha. Ila j2 ya leo nimecheka mnooo
Last edited by a moderator: