Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

sasa mkuu unakuta mtu ana kichwa kama jiwe lakusugulia miguu afu nywele kipilipili zile nyekundu kama mshabiki wa simba unataka afanyaje ili kuziba hiyo ambayo kwake anaona aibu na anataka kwenda na wakat....

Yalaaaaaaaaaaaaaa, jiwe limepasua jicho langu. " kichwa kama Jiwe la kusugulia miguu". Nyie watu siwapendi jamani uuuuuuuuuuh
 
Mwanamke anapendeza na kuvutia zaidi anapokuwa na nywele zake za asili wala sio mawigi. Hiyo ni FACT.

Mawigi yanaboa na yanatupunguzia hisia, mfano pale mwanaume unavyozishika au kujaribu kuzichezea halafu unajua kabisa hizi nywele sio.

Ni kama likofia fulani hivi linalovaliwa au kushonwa kichwani kwa mwanamke, ambayo pamoja na kwamba KIUHALISIA halimuongezei mwanamke mvuto (hata kama ni la Laki Moja), linatakiwa libadilishwe kila baada ya muda fulani.

Wanawake bakini na nywele zenu za asili, zipeni matunzo na usafi wala hamna haja ya kuhangaika na kubadilisha mawigi maana wanaume {99.99%} hatuzipendi. Zinaboa hata kuangalia.

Cha kushangaza, utamkuta mwanamke wa kibongo eti naye anahangaika kuweka liwigi lake vizuri kanakwamba linamzuia kuona vizuri wakati ni FAKE HAIR na yeye mwenyewe kaliweka hivyo kwa makusudi kuiga Wazungu.

Say NO to Fake Hair.

utafiti wako umeufanyia wap ukajua wanaume asilimia 99.9 hampendi?hebu mtuache ww umekutana na wigi limekaa kichwani miezi mitatu hat spray halijapata kwann lisitoe harufu, hebu tuache tuishi tupendavyo
 
Wanawake wa kiafrika kama wamelogwa, hawajiamini, wana akili tegemezi na za kushikwa.

Unakuta mbibi eti nae anaweka wigi na kupaka milangi mdomoni. Mimi nadhani kuna sehemu akili za wanawake wa kiafrika zina mushkeli.

Unakuta mtu kaweka wigi eti nae anatikisa kichwa kama punda eti nywele zinamziba haoni,wanawake wa kiafrika nadhani kuna mtu kawaloga my mama exclusive.
 
Wanawake wa kiafrika kama wamelogwa, hawajiamini, wana akili tegemezi na za kushikwa.

Unakuta mbibi eti nae anaweka wigi na kupaka milangi mdomoni. Mimi nadhani kuna sehemu akili za wanawake wa kiafrika zina mushkeli.

Unakuta mtu kaweka wigi eti nae anatikisa kichwa kama punda eti nywele zinamziba haoni,wanawake wa kiafrika nadhani kuna mtu kawaloga my mama exclusive.

wazungu wenyewe wanavaa wigs sembuse sie, mbona nyie mnanyoa vijogoo hatusemi, mnanyoa michoro kichwan hatusemi? mtuacheeeeeeee
 
Weeeeh hakuna kitu kinamaliza comfidence kama friends wamdiss mtu wako unaweza jikuta unamchukia huyo mtu ghaflaaaa!!

ukiwaendekeza hawataishia hapo....ipo cku watakwambia nyumba ulojenga Ni ya kizamani au mbaya bac hutasita kubomoa.....kuwa na msimamo.
c kila watachotamka ukifanyie kazi
 
sasa mkuu unakuta mtu ana kichwa kama jiwe lakusugulia miguu afu nywele kipilipili zile nyekundu kama mshabiki wa simba unataka afanyaje ili kuziba hiyo ambayo kwake anaona aibu na anataka kwenda na wakat....

Hahhahaa hilo jiwe kuna mtu litamkuta

Afuge na kutunza kipilipili, hatakuwa na mvuto bandia, huko kwenda na wakati kunaharibu mambo
 
Tena baadhi yao ni wachafu, wananuka nywele. Fikiri joto la jiji kama Dar kuna joto kali, jasho kuanzia saa 12 hadi ukipanda kitandani...lakini mtu haoshi kichwa kwa wiki tatu....

Jamani kuna wanawake ni wachafu...ptyuuuuu.
 
utafiti wako umeufanyia wap ukajua wanaume asilimia 99.9 hampendi?hebu mtuache ww umekutana na wigi limekaa kichwani miezi mitatu hat spray halijapata kwann lisitoe harufu, hebu tuache tuishi tupendavyo

Unaweza kuthibitisha utafiti wangu hata kupitia hii thread

Acheni kutafuta kuwa wazungu au wahindi. Mnavutia zaidi mkiwa na nywele zenu hizo hizo. Cha msingi ni kujiamini tu.
 
Tena baadhi yao ni wachafu, wananuka nywele. Fikiri joto la jiji kama Dar kuna joto kali, jasho kuanzia saa 12 hadi ukipanda kitandani...lakini mtu haoshi kichwa kwa wiki tatu....

Jamani kuna wanawake ni wachafu...ptyuuuuu.

Daah nimeshukuru huu ujumbe umewalenga zaidi wanawake wa dar. Me Nipo mkoani kwenye baridi
 
wazungu wenyewe wanavaa wigs sembuse sie, mbona nyie mnanyoa vijogoo hatusemi, mnanyoa michoro kichwan hatusemi? mtuacheeeeeeee

Kwani mkiweka wigi pembeni, mnaweza kuwa na nywele ndefu kama za wazungu?
 
Hahaha atoto nimepiga ukunga huku, juzi kati Nimefumua nikaenda zangu kupunguza nywele kidogo ili nizilock. Sio kwa kule kupunyuliwa yani nilimsonya yule kinyozi kimoyomoyo maana sio kwa chogo hili mzee wangu alilonipa khaa. No dreads no kusuka mweee nikaogopa kuvaa wigi Isije nikageuka afu lenyewe likabaki tu straight uwiiii ii. Daddy Kaboom nimekugawa leo

Hahahaaaa! Vaa tu wigi kichwa kiwe kama umebeba mtungi, yaani wanaume wa jf wana maneno kama wanawake wa kizaramo, nimewagawa bureeeeee, wanavyoyatoa sasa km wake wenza wanachambana, duuuuh ngoja nimtafute khadija kopa aje achukue watu huku wamsaidie kutunga aisee.
 
Last edited by a moderator:
Hahaha atoto nimepiga ukunga huku, juzi kati Nimefumua nikaenda zangu kupunguza nywele kidogo ili nizilock. Sio kwa kule kupunyuliwa yani nilimsonya yule kinyozi kimoyomoyo maana sio kwa chogo hili mzee wangu alilonipa khaa. No dreads no kusuka mweee nikaogopa kuvaa wigi Isije nikageuka afu lenyewe likabaki tu straight uwiiii ii. Daddy Kaboom nimekugawa leo
Teh teh..Douta we ukivaa linakupendeza bana..Usiogope
 
Hahahaaaa! Vaa tu wigi kichwa kiwe kama umebeba mtungi, yaani wanaume wa jf wana maneno kama wanawake wa kizaramo, nimewagawa bureeeeee, wanavyoyatoa sasa km wake wenza wanachambana, duuuuh ngoja nimtafute khadija kopa aje achukue watu huku wamsaidie kutunga aisee.

Nimefunga tu kilemba cha bi mkombi. Khaa eti bichwa kama jiwe la kusugulia miguu. Yani wamejua kunikomesha leo
 
Heaven Sent akiongea nyakoo anaambiwa hayamuhusu na anatumia lugha mbaya sijui, kweli nimeamini kunya anye sonko akinya nyakoo kaharisha.

Ngoja nione kama baada ya huu uzi maweavs yataisha
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wa kiafrika kama wamelogwa, hawajiamini, wana akili tegemezi na za kushikwa.

Unakuta mbibi eti nae anaweka wigi na kupaka milangi mdomoni. Mimi nadhani kuna sehemu akili za wanawake wa kiafrika zina mushkeli.

Unakuta mtu kaweka wigi eti nae anatikisa kichwa kama punda eti nywele zinamziba haoni,wanawake wa kiafrika nadhani kuna mtu kawaloga my mama exclusive.


Wanawake wote wanavaa wigs sio waafrika tu.

images
 
Asilimia kubwa ya wanawake ni ya kuzuga... Midomo rangi si yake, kucha rangi si yake wengine wanaweka kucha za bandia, wapo wanaoweka matiti ya bandia, mwendo si wake anamuiga model fulani bila shaka anapotembea, nywele za wafu au za viwanda... Makalio mengine si ya kweli au wametumia dawa ingawa wapo ambao wako original, wafupi wanavaa high heels, kope si zake, nyusi zimenyolewa akapaka sijua ndo nini.... Hebu wewe fikiria mwanamume mwenye six pack ya kichina ili akufurahishe au mwanamume anayemwomba rafiki yake bamia au ananunua dukani ili akuridhishe... Wanawake wengi ila si wote wanaigiza maisha
 
Back
Top Bottom