Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,099
Sadaka natolea wapi?
Vikapu Vya Sadaka Hivi Hapa: 0786100772, 0673100772, 0757856336 Wee Weka Tu na Mungu Akubariki Sana
Sadaka natolea wapi?
Haha ha ha ha ha haaa, na uzuri wetu unachangia
Hahaha. Sasa ngoja kwanza, ujue makanisa mengi makongwe yanamiliki shule, mahospitali, na huduma mbali mbali za jamii. So, hata ukitoa sadaka, unajipa moyo inaendea kusaidia mahali.Vikapu Vya Sadaka Hivi Hapa: 0786100772, 0673100772, 0757856336 Wee Weka Tu na Mungu Akubariki Sana
Mpendwa, si ungetupia tu ile kofia yako ya CCM? Tungeelewa tu. Kwaya ilipwaya sana bila wewe.![]()
Haha. Si unatupia na bandana kwa ndani Mpendwa.Kofia inapendezaga juu ya wigi hivi hivi inanipwelepweta si unajua kichwa changu sio XL
Hahaha. Sasa ngoja kwanza, ujue makanisa mengi makongwe yanamiliki shule, mahospitali, na huduma mbali mbali za jamii. So, hata ukitoa sadaka, unajipa moyo inaendea kusaidia mahali.
Wewe sadaka unahitaji za nini Mchungaji, maana wengi siku hizi ni za kununulia Hummer, Chopa, na maisha ya kifahari. Kuwa muwazi tu Mchungaji, na Mungu atakubariki.
Nadhani hawajakwambia uwafuate pia, so just chill man
Hahaha. We Mchungaji power bank na bundle zinakutosha kufanya huduma.Tunahtj Kununua Luku, Betri Za Mike, lakini hata vocha unajua sisi wachungaji kondoo wanatubip wanahtj maombezi wakijua tunazo hela, na kama hivi naweza kupata MB ili niwashauri hapa jf. naamini umeelewa sasa? haya tuma usiwe km *evelyn salt* ameahidi hajatimiza. mungu akubariki
Spoken with so much confidence. Where do they breed your kind? Tunawahitaji hata watano tu kama wewe.Binafsi siwezi kutoka bila wigi kama siyo basi Nina weaving
Wigi Nina kuanzia la Rihhana mpaka LA shontelle
Haha. Si unatupia na bandana kwa ndani Mpendwa.
hahaaahaa Wapo mbona labda hawajauona Uzi.Spoken with so much confidence. Where do they breed your kind? Tunawahitaji hata watano tu kama wewe.
Hahaha poa Mpendwa. Usisahau kuligundisha ili ukigeuka muwe pamoja. Si umemsikia Kaboom?Mpendwa hebu ngoja nitafute wigi langu silioni eti
Mngejitokeza mapema, hii topic tungeshaizika kitambo. Sema machungu yangezidi. Si unajua ukichokoza, halafu ukashindwa..ni balaa.hahaaahaa Wapo mbona labda hawajauona Uzi.
Mngejitokeza mapema, hii topic tungeshaizika kitambo. Sema machungu yangezidi. Si unajua ukichokoza, halafu ukashindwa..ni balaa.
Haha. No need. Ishapoa hata hivyo.Sijui niwaite ???