Wanawake acheni kuvaa mawigi

Wanawake acheni kuvaa mawigi

wanaume nyie hamueleweki hata kidogo,utasema natural hair akipita aliyevaa wig macho yanakutoka kama unataka kukata roho.hebu mutuwache

Macho yanatutoka kwa sababu ya kuwashangaa wala sio kwamba tunavutiwa nao

Lakini mwanaume anaweza kuangalia mengine kama sura, miguu, hips, tako, ziwa n.k huko nako kuna U-fake wake ila sio wa wazi kama wa nywele.
 
Nywele feki
Kope feKi
Matiti fake
Makalio feki
Ngozi
Yaani kizazi cha kina fekifeki
 
Uwiiiiii!! Vitambi ni janga hujui tu, nawashangaa mnavyovitetea, na bahati nzuri zile hata doctors wanaviongelea, hii ya wigs sijui make ups ishasemwa sana humu jf ujue, nilitegemea mngekuja na mrejesho sasa kuwa mmefanikiwa kwa kiasi gani, maana biashara ndio inapamba moto.
Kimsingi hapa tunachofanya ni kucheza na saikolojia zenu. Tuna-hit kwenye palipo na esteem zenu, mnashusha standards, we get laid easily and cheaply. Ni strategies tu. Single mothers na 30s & singles wajiandae.
 
huwezi kutafuta muonekano Wa dukani wakati mungu Amekupa wa Asili.. Wengine wanatetea kwa kuwa kama Sio mawig basi nadhani hizi kelele humu zisingekuja.. Wig halikupi uzuri bali huzidisha ujinga na kukufanya uonekane kama midoli.
 
Macho yanatutoka kwa sababu ya kuwashangaa wala sio kwamba tunavutiwa nao

Lakini mwanaume anaweza kuangalia mengine kama sura, miguu, hips, tako, ziwa n.k huko nako kuna U-fake wake ila sio wa wazi kama wa nywele.

hujui tu ni kwa jinsi gani wig zinawaweka wadada mjini,vinginevyo tungekimbiana
 
Kimsingi hapa tunachofanya ni kucheza na saikolojia zenu. Tuna-hit kwenye palipo na esteem zenu, mnashusha standards, we get laid easily and cheaply. Ni strategies tu. Single mothers na 30s & singles wajiandae.

Aaaah wapi labda mngehamia kwingine, huko kushachuja hakuna jipya kabisaaaa, alafu kulishastukiwa kumebaki kwa wavulana wenye stress na wenye low esteem wanaotafuta angalau nao wasikike na waonekane, didnt thot yo1 of them kumbe i was wrong!!!
 
Uwiii tokea mmeanza kusema yaani biashara ndio inapamba moto, maana hamjaanza leo ujue, unadhani nakushangaa ukisema hivyo basi, mayb angesema mwingine.

Wabongo hamkupewa mywele ndefu kama wazungu, wahindi, wachina n.k. Sijui mnamlaumu nani kuhusu hilo? Ni busara mkijikubali mlivyo ,mbona sisi tunawakubali hivyo hivyo!!
 
hujui tu ni kwa jinsi gani wig zinawaweka wadada mjini,vinginevyo tungekimbiana

Kwa mara Ya kwanza naona mwanamke mwenzao amekubali kuwa kama sio mawigi Basi wengine wangekimbiwa.. Ahsante sana tena
 
Aaaah wapi labda mngehamia kwingine, huko kushachuja hakuna jipya kabisaaaa, alafu kulishastukiwa kumebaki kwa wavulana wenye stress na wenye low esteem wanaotafuta angalau nao wasikike na waonekane, didnt thot yo1 of them kumbe i was wrong!!!
Hahaha. Atoto mara nyingi sana hunielewagi. But anyway, ngoja tuishie hapa.
 
Eti wig limefika mgongoni! Huu ni wizi ni sawa na kilio fake wakati wa 6x6. Kwa sisi mabachela mnatupa kazi ya kuziokota kila siku pindi muondakapo.
 
sema huna hela ya kumpa mkeo akanunue alafu una kitambi
TOA KWANZA HUO MTAMBI NDO TUONGEE KUHUSU MAWIG

Kwanza, Sina kitambi, pili, sema namnunulia ili kumfurahisha ila mimi sivutiwi nazo. Kwanini mwanamke atundike vitu visivyomvutia mtu wake?
 
We pesa ndogo hata utake milioni na wigi la laki au weaving ya billion na Kwa taarifa yako huwa cwafuati tunakaa nao kwenye dala dala hiyo unpleasant smell nimbaya sana natural hair for the best stylish girls cyo unanukanuka kaa bi kizeee

Nadhani hawajakwambia uwafuate pia, so just chill man
 
Back
Top Bottom