Wanavyosema kuhusu JF

Wanavyosema kuhusu JF

Status
Not open for further replies.
Mimi humu kinachonishangaza yani ukiwa upande wa pili usio wao unashambuliwa na payroll za RA wao ukiwapeleka kwa staili hiyo hiyo utasikia marefarii anavunja sheria za JF afungiwe etc.
Wow,

Na hapohapo Invisible anakufungia au sio?

We're so unfair I may say!...

LAKINI: Kuna watu kazi yao ni kulalamika tu, wanaweza kulalamika kuwa kuna topic flani ni mbaya... Hawakupi link ya topic hiyo... Wanaweza kulalamika kuna mtu anawa-attack personally, wanaogopa hata kumtaja... Wanaweza kudai topic zao walizoanzisha zimefutwa... Hata kuangalia kama kulikuwa na topic yenye mwelekeo huo au kutumia search button hawataki... Inakuwa ngumu kuwahudumia, ngumu sana I may say. Si rahisi kumfurahisha kila mtu.

JF = Jamii Forums (Think of it!) And not FORUM... And it's for JAMII!


BTW: Nawashukuru wana JF kwa namna tunavyozidi kuwa na wanachama wanaojisajili. Per day, wanajisajili (walau) 35. Hii ni sasa ambapo bado hatujajitangaza, tutajitangaza soon kwenye vyombo vya nyumbani.

Premium Members, tafadhali kuna ujumbe wenu VIP forum.
 
What they say about this forum?kwamba its corrupted by mwanakijiji,na ni forum ya kifisadi! I have one word: Wake up.. If that is true. Thats the rumour going round

if you are not in that group you are the one.
 
Kwa hiyo mnataka kutuambia kuwa hakuna wanaoyasema hayo anayodai Yessir? Hii intolerance kwa mawazo tofauti imetoka wapi?

Amandla...........
 
Jamani hapo juu hizo ni challenges kwa ajili ya kujenga -- hata nchi yetu watu hawapendi changamoto na kukosolewa ndio maana mpaka leo hii tuko hivi lazima ukubali ukosolewe ujue udhaifu wako ili uweze kujijenga na kujiimarisha zaidi
 
hujakatazwa kwenda kijiweni kunywa kahawa na kucheza bao bwan'mkubwa
kijana naona umejiunga hivi karibuni
nakushauri tu ujipe homework ya kusoma rules za JF tena na tena ambapo natumai utagundua kuwa hili ni jukwaa huru hivyo hakuna domination humu.
humu hata kama mkuu robot akileta za kuleta tunampa live. hakuna kukopesha.
ila naona unachotaka kuleta humu ni uchonganishi na hasa hasa unatutoa stim zetu dogo.

inaelekea alfajiri umeamkia chai kwa kipande cha nguru wewe. nakushauri kunywa maji mengi utakaa sawa dogo.
 
What they say about this forum?kwamba its corrupted by mwanakijiji,na ni forum ya kifisadi! I have one word: Wake up.. If that is true. Thats the rumour going round

BRAVO JF.
Mimi ni mmoja kati ya wanachama wachache walioingia hivi karibuni, To be honest to myself JF is incomparable, Hii siyo blogue ya kizushi, na watu hawapokei point zisizochujwa, kila kinachoingia kinachujwa, Na ukweli watu wa humu ni competent sana.Sometime huwa nakubali kwamba humu ndani wazalendo halisi ni wengi. Wanaoongea against JF siwaelewi wako upande gani.
Are they with us or the enemies?
 
nakubaliana na fundi mchungo..

mnaonishutumu kwamba kama sipo kwenye hilo group ni mimi,mimi sikuijua jamii forums mpaka nilipokuja kuisikia nilipoisoma huko sehemu sehemu wakiisema vibaya!.. basically walisema ni forum ya kifisadi na mwanakijiji was mentioned! he is the only person i knew when i joined here. i havent had time to go through every post as you can see ni nyingi sana,so nilitaka kujua tu, kama humu kuna maendeleo au nisepe.. its as simple as that!..all you had to say was yes or no,naona watu wamejaza matuuuusi,wengine wananiandika essays.. who cares!? i dont... but the fact remains still kwamba JAMII FORUMS INASEMWA NI FORUM YA KFISADI..why and how,thats for you to find out..after all looks like you have been here for a long time
 
narudi kuwapostia linki from one of the very few websites that talk about this forum.. it might take a while,because obviously i have to dig for it and im a bit busy now
 
Kwa hiyo mnataka kutuambia kuwa hakuna wanaoyasema hayo anayodai Yessir? Hii intolerance kwa mawazo tofauti imetoka wapi?

Amandla...........
Mkuu
unajua mtu anapolazimisha hoja zake bila kuleta dataz inakuwa ngumu sana kumkubali.
alipaswa hapa alete uthibitisho ili tujadili na si kuamua kushambulia tu kila aliye mbele yake. pia angekuwa fair kututhibitishia huo ufisadi wa JF ili tuuchambue kama tunavyofanya kwa mafisadi wenzake. halafu kikubwa sana huyu bwana mdogo anapaswa kwanza kujifunza kufua nepi zake ndipo ataweza kusimama na kutembea.
 
Jamani hapo juu hizo ni challenges kwa ajili ya kujenga -- hata nchi yetu watu hawapendi changamoto na kukosolewa ndio maana mpaka leo hii tuko hivi lazima ukubali ukosolewe ujue udhaifu wako ili uweze kujijenga na kujiimarisha zaidi

Sasa Shy, nani amekosolewa hapa? Wewe unakubaliana na mawazo ya Yessir kuwa wanasema JF iko corrupted na M.M.Mwanakiji?
 
Mimi humu kinachonishangaza yani ukiwa upande wa pili usio wao unashambuliwa na payroll za RA wao ukiwapeleka kwa staili hiyo hiyo utasikia marefarii anavunja sheria za JF afungiwe etc.

Wapeni watu uhuru wa mawazo ,kinachoendelea humu sometimes ni VIRTUAL COLONIZATION ya kwamba lazima uwe upande wetu ? utafikiri memba humu wengine ni wanyama waendeo marishoni yani ya kwamba lazima wafuate njia aipandayo bwana wao

Afterall who is RA ?tumewashindwa MAFISADI wa KWELI waliopanga madili eti tunakuja kukurupuka na RA.
Kwa pesa za EPA na zinginezo role ya RA inafanana kabisa na ya Balali ma BACKBONE wa dili twawafahamu nao wa fahamu kumshitaki RA ni kumwonea maana wezi ni wao.

Hivi wewe ikitumwa kuondowa moshi unaowasumbua utaenda kuzima moshi ama utaenda kuzima moto.
kwa mtazamo wangu WANASIASA wote wanaojidai eti wanafanya mapiganio ya mustakibali wa Taifa ni wanafiki ni wazushi ,wanavyo vielelezo vyote wameshindwa kuvipeleka Mahakamani ama wameshindwa kwenda kushitakia ktk umoja wa mataifa kwanini hawaendi kushitakia kwa sababu kufanya hivyo HAWATAKUWA na HOJA MAJUKWAANI.

Nami ningependa nichangie though sikutaka lakini hapa kuna kitu kimenigusa kuwa kama uko upande fulani uanashambuliwa. Binadamu hatuwezi kuwa sawa hivyo ni lazima kuwe na opposite sides ili mjadala ufanyike otherwise hakuna maana ya mjadala.

RA kama ulivyosema yeye yuko katikati kwani kuna na wengine ambao wamehusika na EPA a madeal mengine lakini kwa issue ya EPA yeye ndiye mastermind kwani hata baadhi ya taarifa zilizopo hapa JF KUNA VITU VYAKE VIMETUMIWA KWENYE HIZO DEAL HIVYO HAWEZI KUWA EXCLUDED. Yupo tena ni kinara.

Eti kuwa ukiwa against unafungiwa kuna wanaJF wengine wanadhani lugha ya matusi au kebehi ndiyo ya kutumia hapa tunakwenda kwa HOJA hivyo kama una hoja kaa kimya wacha wenye nazo wadiscuss. Waliofungiwa walifungiwa kwa haki mbona kuna wengine humu wanatukana kabisa lakini wanasamehewa. TUANGALIE VITU KWA MACHO MATATU NA ON POSITIVE SIDE FIRST.

HAO WANAOSEMA KUWA JF NI MAFISADI ITAKUWA WAO WAMEGUSWA PASIPOGUSIKA HIVYO KIMEWAUMA SASA WANATAFUTA PA KUTOKEA JUZT IGNORE THEM KAMA WANAPOINT WAWEKE MAMBO WAZI YADISCUSIWE.
 
kijana naona umejiunga hivi karibuni
nakushauri tu ujipe homework ya kusoma rules za JF tena na tena ambapo natumai utagundua kuwa hili ni jukwaa huru hivyo hakuna domination humu.
humu hata kama mkuu robot akileta za kuleta tunampa live. hakuna kukopesha.
ila naona unachotaka kuleta humu ni uchonganishi na hasa hasa unatutoa stim zetu dogo.

inaelekea alfajiri umeamkia chai kwa kipande cha nguru wewe. nakushauri kunywa maji mengi utakaa sawa dogo.

msanii kweli wewe msanii! haya hongera.. and the point is? kukukata stimu wewe mimi hainisumbui.. usipende kila mtu afuatane na chochote unachosema wewe.. hii haiwezekani. sasa kama hii forum haikusifiwa nilipoisikia unataka nitunge.ebwanae.. ngoja nile zangu kuongea na wewe ni sawa na kuongea na kiziwi
 
nakubaliana na fundi mchungo..

mnaonishutumu kwamba kama sipo kwenye hilo group ni mimi,mimi sikuijua jamii forums mpaka nilipokuja kuisikia nilipoisoma huko sehemu sehemu wakiisema vibaya!.. basically walisema ni forum ya kifisadi na mwanakijiji was mentioned! he is the only person i knew when i joined here. i havent had time to go through every post as you can see ni nyingi sana,so nilitaka kujua tu, kama humu kuna maendeleo au nisepe.. its as simple as that!..all you had to say was yes or no,naona watu wamejaza matuuuusi,wengine wananiandika essays.. who cares!? i dont... but the fact remains still kwamba JAMII FORUMS INASEMWA NI FORUM YA KFISADI..why and how,thats for you to find out..after all looks like you have been here for a long time
shekhe
hebu leta dataz zenye viuatilifu ndani yake ili tuujue huo ufisadi wa JF. acha kuongea kama mlevi bwana.

Nakupa hongera kwa kuamua kujiunga na JF hasa baada ya kupata habari negative about it. Ila ikomboe fikra yako kwa kuatilia kwa umakini hoja zitolewazo humu ndipo utajua kuwa mbichi huiva na mbivu huoza
 
What they say about this forum?kwamba its corrupted by mwanakijiji,na ni forum ya kifisadi! I have one word: Wake up.. If that is true. Thats the rumour going round



Yes Sir!

Wewe kijana sio vizuri kusema umbeya at your age! Hao watu wanasemea wapi! I fail to understand this blabla of yours!! Get matured kama mnakaa kwenye kijiwe mkasema halafu wewe unakuja kuanzisha thread ambayo haina kichwa wa miguu!! Count yourself out!!

I have been a member on JF for about two months lakini sioni hiyo corruption ya M.M.Mwanakijiji apart from straight and positive contribution from him/her.

As usual akili za watu wa Africa zina matatizo makubwa ambayo bado natafiti dawa yake! I shall come back if something tangible crops!!!

Next around yessir quote your source and report otherwise no blablah like the black sheep!!
 
msanii kweli wewe msanii! haya hongera.. and the point is? kukukata stimu wewe mimi hainisumbui.. usipende kila mtu afuatane na chochote unachosema wewe.. hii haiwezekani. sasa kama hii forum haikusifiwa nilipoisikia unataka nitunge.ebwanae.. ngoja nile zangu kuongea na wewe ni sawa na kuongea na kiziwi
mimi siwezi kukulalamikia kwa Mods maana sina tabia ya kuwachongea watu. ila najua unatoa mawazo yako na una uhuru huo. Mimi siyo kiziwi wala kipofu. naona na kuchungulia pia pamoja na kusikiliza kwa makini mivumo ya hela zilizofisadiwa zinapohesabiwa.

Ila jitahidi kufahamu kwamba pamoja na kuniambia kuwa napenda kila mtu afuatane na chochote nisemacho bali pia naomba ujumbe huo ukufikie wewe mleta hoja kwani unatulazimisha tufuate uachosema wewe.

Inaonesha dogo umejiunga humu ukiwa umeshaota meno ya juu. haha
 
Sasa Shy, nani amekosolewa hapa? Wewe unakubaliana na mawazo ya Yessir kuwa wanasema JF iko corrupted na M.M.Mwanakiji?

do NOT quote me for something that isnt true..i repeat do NOT quote me. sikusema hayo ni mawazo yangu
 
Mkuu
unajua mtu anapolazimisha hoja zake bila kuleta dataz inakuwa ngumu sana kumkubali.
alipaswa hapa alete uthibitisho ili tujadili na si kuamua kushambulia tu kila aliye mbele yake. pia angekuwa fair kututhibitishia huo ufisadi wa JF ili tuuchambue kama tunavyofanya kwa mafisadi wenzake. halafu kikubwa sana huyu bwana mdogo anapaswa kwanza kujifunza kufua nepi zake ndipo ataweza kusimama na kutembea.

Kwangu mimi alichokisema Yessir ni obvious na hakukuwa na haja ya dataz. Si kila mtu anaipenda hii forum. Si kila mtu anampenda Mzee Mwanakijiji. Siku ambapo watu wataacha kuisema vibaya hii Forum basi tujue tumepoteza dira! Forum kama hii haiwezi na haitakiwi impendezeshe kila mtu.

Yessir. Tofauti na wanavyosema, Mzee Mwanakijiji si sauti pekee inayosikika humu ndani. Yeye kama wanachama wengine hoja zake na michango yake inajadiliwa kutoka kila upande. Kuna wanaozikubali na kuna wanaozipinga kutegemea na hoja yenyewe. Sijaona dalili za yeye ku-corrupt hii forum. Hilo la ufisadi halistahili jibu maana siku hizi neno hilo limekuwa insult of choice. Kila tusiyekubaliana nae tunamuita fisadi.

Ni hayo, tu. Na karibu jamvini na usije ogopa kuchangia kutokana na reception uliyopata. Mawazo yote na michango yote inathaminiwa bila kujali umejiunga lini.

Amandla......
 
nakubaliana na fundi mchungo..

mnaonishutumu kwamba kama sipo kwenye hilo group ni mimi,mimi sikuijua jamii forums mpaka nilipokuja kuisikia nilipoisoma huko sehemu sehemu wakiisema vibaya!.. basically walisema ni forum ya kifisadi na mwanakijiji was mentioned! he is the only person i knew when i joined here. i havent had time to go through every post as you can see ni nyingi sana,so nilitaka kujua tu, kama humu kuna maendeleo au nisepe.. its as simple as that!..all you had to say was yes or no,naona watu wamejaza matuuuusi,wengine wananiandika essays.. who cares!? i dont... but the fact remains still kwamba JAMII FORUMS INASEMWA NI FORUM YA KFISADI..why and how,thats for you to find out..after all looks like you have been here for a long time

Naomba nikupe pole kwa yaliyokukuta ila pia nikwambie kuwa umeyataka mwenyewe. Na labda bado hujapata kilicho halali yako (you never got what you deserved)! Wote tuliingia humu kutafuta habari mpya mpya na pia kupata uwanja wa kutoa maoni yetu; pamoja na kuelimishwa na wadau wenzetu. Ukipenda hata wewe unaweza kesho tu ukawa Premium member endapo una mambo ya kuchangia badala ya kuanza kuwakwaza watu kwa tuhuma hewa. Nilitegemea kuona ukisema kuwa JF inaonekana kuwa ya kifisadi kwa kutoa sababu au vielelezo ulivyonavyo. Mfano, JF ni jukwaa la mafisadi kwa sababu wanatoa habari za uhakika kuhusu ufisadi na mafisadi (Chenge, RA, EL, BWM n.k). Badala yake umeanza kwa kutingisha kiberiti tu na kuleta hadithi/ngonjera za mipasho (you just provoked great thinkers....). Sasa ulitegemea nini?
 
do NOT quote me for something that isnt true..i repeat do NOT quote me. sikusema hayo ni mawazo yangu
Lakini umeyawakilisha wewe.
haya tuambie nani kasema ivo?
 
jamani wana JF tusipanick katika kumsaidia kijana wetu mpya kabisa katika hili jukwaa la wastaarabu "VICHWA"....dogo anasema anasikia "THEY" SAYS....sasa naona ni wajibu wetu kumtuma kama mwanaJF mpya kwa hao THEY wanaosema sie ni mafisadi na hasa mkuu mwanakjj....

dogo yasser tumia muda wako kusoma hoja na michango iliyokwisha tolewa na wadau wote humu ndani na utaona ni jinsi gani kunavyokuwa na utofauti mkubwa wa mawazo...na uhuru tosha wa kila mtu kusema anachojisikia na anavyoelewa...na ni kwa uhuru huo hata hii thread yako HAIKUFISADIWA na ikawekwa hewani....na sasa hivi tunaijadili

wanaJF wenzangu...dogo pia ameleta challenge kwetu sisi...wajibu wa wanaJF kuielezea jamii umuhimu wa forum zetu na sio tulinganishwe na blogs za watoto nyingi tuu tunazozijua...ndioo.. ni wajibu wetu kuhakikisha kila mwenye akili timamu anajuwa kuwa JF IS THE HOME OF GREAT IDEAS AND SERIOUS CHALLENGES...we dare to talk openly...hakuna forum yoyote hapa nchini inayoijadili nchi yetu kwa marefu mapana na kina..."THEY"...wanahitaji kueleweshwa na sisi wanaJF wote....na mwisho wa siku watatujoin na tutakuwa "WE"...YES CHANGES WE CAN.....GOD BLESS TANGANYIKA, GOD BLESS ZANZIBAR ...GOD BLESS TANZANIA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom