- Thread starter
- #81
Invisible
Kuna umuhimu wa kuanzisha utaratibu wa kufungia watu/kublock posts ambazo zinakosa MASHIKO.
hahaha kweli nimeamini post moja ya mdau alieandika kuhusu 'marefarii aka vibaraka' wanaopigaga kelele watu wablockiwe
Invisible
Kuna umuhimu wa kuanzisha utaratibu wa kufungia watu/kublock posts ambazo zinakosa MASHIKO.
Including you!!.....or??
USHAURIhahaha kweli nimeamini post moja ya mdau alieandika kuhusu 'marefarii aka vibaraka' wanaopigaga kelele watu wablockiwe
gademu..!! Mkandara nimecheka hapa sina hamu... hivi wanawadharau sana watu waliomo humu? Kwamba nikiondoka mimi ndiyo JF itakuwa 'safi'! Gademu Rostam....you ain't gonna stop eh.. (don't ask me I just had to say his name just to piss some people off)!!
wewe nawe usiongee mambo usiyoyajua..bora uulize,kama nilivyouliza mimi kuliko ku weka conclusions!
mwanakijiji anaongelewa every where.. hadi kwenye michuzi amesutwa kwamba ni fisadi na ni mtoto wa fisadi..sasa what does that have to do with me. anyways sawa nimeshapata majibu
JF kwenyewe tunakuwaga na rumous mbalimbali, hivyo halishangazi kuona pia yenyewe inatetwa na hao.
Mzee MJJ anafanya kitu kwa uwezo wake sanasana kuhusu mapambano ya kifisadi na kama binadamu hawezi kumridhisha kila mtu, lazima kuna wengine watakuwa na hisia toauti juu yake. Kama mtu husemwi ujue hujakamilika ati!.
Raha ya rumous ni kwamba mtu unakuwa unapeleka maneno kule na huku ili aonekane mwema kote japokuwa anaweza kuharibu vilevile.
Karibu JF,ukiendelea kuwepo utajua na kusikia mengi halafu upate conclusion mwanana!..
JF kwenyewe tunakuwaga na rumous mbalimbali, hivyo halishangazi kuona pia yenyewe inatetwa na hao.
Mzee MJJ anafanya kitu kwa uwezo wake sanasana kuhusu mapambano ya kifisadi na kama binadamu hawezi kumridhisha kila mtu, lazima kuna wengine watakuwa na hisia toauti juu yake. Kama mtu husemwi ujue hujakamilika ati!.
Raha ya rumous ni kwamba mtu unakuwa unapeleka maneno kule na huku ili aonekane mwema kote japokuwa anaweza kuharibu vilevile.
Karibu JF,ukiendelea kuwepo utajua na kusikia mengi halafu upate conclusion mwanana!..
Samahani, una maanisha inawezekana amepeleka maneno kule kwamba jamaa wanasema nyie ni mafisadi? Ulimaanisha nini hapa
Umeanza vizuri lakini kumalizia mmmh, kwani jamaa anapeleka wapi? hamkutaka kusikia watu wanasemaje kuhusu JF? mbona hapa huwa mnajadili hata BLOG ya UTAMU na Michuzi, kuna watu wanafikiri JF ni untouchable? wacheni watu waseme jamani na tuwasikie...
wewe ni wale waleUmeanza vizuri lakini kumalizia mmmh, kwani jamaa anapeleka wapi? hamkutaka kusikia watu wanasemaje kuhusu JF? mbona hapa huwa mnajadili hata BLOG ya UTAMU na Michuzi, kuna watu wanafikiri JF ni untouchable? wacheni watu waseme jamani na tuwasikie...
Mkubwa;
Dah! Sijui niseme tu nifungiwe humu?????? Dah! Duh!
Nyani Ngabu ebu mmalize huyu!. Tatizo la hizi Blog ni kuwa watoto na wazee wanajumuika pamoja ba kubadilishana mawazo, sasa watoto huwa hawachelewi kujionyesha kwa ufinyu wa mawazo yao!.