Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
wewe nawe usiongee mambo usiyoyajua..bora uulize,kama nilivyouliza mimi kuliko ku weka conclusions!
mwanakijiji anaongelewa every where.. hadi kwenye michuzi amesutwa kwamba ni fisadi na ni mtoto wa fisadi..sasa what does that have to do with me. anyways sawa nimeshapata majibu
kwa hiyo baada ya kusutwa kwenye michuzi na wewe umejaribu kuja kumsuta JF kazi unayo....
hapa JF watu wanatoa mawazo yao na kama huyapendi unaruhusiwa kutoa hoja kwa nini huyapendi, hamna mambo ya zidumu fikra za fulani
ungesema tu mwanakijiji KACHEMSHA tungekuwelewa unamaanisha nini...
ONYO: tafadhali hapa ni mahali pa kutoa/kubadilishana mawazo, kupigania haki na sio mahali pa kusutana....