Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
Kwa wanaume wenza mitaa ya Jamvi,
Jana nikiwa napita maeneo katikati ya Jiji , mara hammadi , mbele yangu pakawa na vijana wawili wakiwa na makundi mawili ya wapambe.
Kwa dakika chache nilizosimama kuangalia mwenendo wa mambo katika makundi yale yaliokua yakihasimiana , kila kundi lilikua likimsapoti mmoja baina ya vijana wale wawili waliokua wakiporomosheana mitusi ya nguo.
Muda si muda ngumi zikajiri baina ya vijana wale.
Wakati ngumi zinaanza niliwasikia wapambe wa makundi wakisema "Hapa leo haamuliwi mtu, leo wapigane hadi mwisho wao ndiyo wataheshimiana mnatusumbua kila siku tumewachokeni"
Nami ama kwa umbea au kwa kila kiingiacho mjini si haramu, nikasema sibanduki hadi nione mwisho wa ndindo hizo.
Kuzingatia mijanadume ile kuonekana ni ile yenye mijifua mikubwa na mikono iliojaa marinda ya viazi, nikajua shughuli pevu itakuwepo.
Wadau ngumi zile , ndondi hazikumaliza dkk 5 !
Wanaume wale wakiwa hawajaamuliwa walikua washatepeta ile lachilachi ! Mbendembende !
Hakuwepo wa kurusha konde .
Ile hali ilinishtua na nikalazimika niifanyie utafiti iweje mibarobaro kama ile iwe vile kama mikaka poa?
Hatimae jana nikakutana na jamaa yangu ambae ni (X-Boxer)
nikampa muhtasari mzima wa lile tukio na nini sababu ya vijana kuwa wachovu kiivo.
MAJIBU
Mdogo wangu vijana wa sasa tatizo la kukosa nguvu linaanzia kwenye msosi.
Usitegemee mchana ushindie Chips , na jioni Chips then ukategemee kuwa na nguvu ! Tena si za kupigana ngumi tu hata nguvu za Para (ngono) utakua hoi tu.
Vyakula vya kwenye makopo, Kuku wanaozalishwa bila Jogoo , Mayai ya incubation, Ugali wa unga uliolowekwa ni matatizo matupu!
MWISHO WA MAJIBU.
Nami nimeshawishika kwa nia njema kabisa niitupe Mkekani, kwa kuwaokoa wanaume wenzangu hizi ChipsChips tuzipunguze kama si kuachana nazo.
Zitatupelekea fedheha kwa hawa wanawake wetu kutudharau kwa kuja kwetu kuwapa ule muziki upaswao tuwape.
AIBU
A s a n t e n i
Jana nikiwa napita maeneo katikati ya Jiji , mara hammadi , mbele yangu pakawa na vijana wawili wakiwa na makundi mawili ya wapambe.
Kwa dakika chache nilizosimama kuangalia mwenendo wa mambo katika makundi yale yaliokua yakihasimiana , kila kundi lilikua likimsapoti mmoja baina ya vijana wale wawili waliokua wakiporomosheana mitusi ya nguo.
Muda si muda ngumi zikajiri baina ya vijana wale.
Wakati ngumi zinaanza niliwasikia wapambe wa makundi wakisema "Hapa leo haamuliwi mtu, leo wapigane hadi mwisho wao ndiyo wataheshimiana mnatusumbua kila siku tumewachokeni"
Nami ama kwa umbea au kwa kila kiingiacho mjini si haramu, nikasema sibanduki hadi nione mwisho wa ndindo hizo.
Kuzingatia mijanadume ile kuonekana ni ile yenye mijifua mikubwa na mikono iliojaa marinda ya viazi, nikajua shughuli pevu itakuwepo.
Wadau ngumi zile , ndondi hazikumaliza dkk 5 !
Wanaume wale wakiwa hawajaamuliwa walikua washatepeta ile lachilachi ! Mbendembende !
Hakuwepo wa kurusha konde .
Ile hali ilinishtua na nikalazimika niifanyie utafiti iweje mibarobaro kama ile iwe vile kama mikaka poa?
Hatimae jana nikakutana na jamaa yangu ambae ni (X-Boxer)
nikampa muhtasari mzima wa lile tukio na nini sababu ya vijana kuwa wachovu kiivo.
MAJIBU
Mdogo wangu vijana wa sasa tatizo la kukosa nguvu linaanzia kwenye msosi.
Usitegemee mchana ushindie Chips , na jioni Chips then ukategemee kuwa na nguvu ! Tena si za kupigana ngumi tu hata nguvu za Para (ngono) utakua hoi tu.
Vyakula vya kwenye makopo, Kuku wanaozalishwa bila Jogoo , Mayai ya incubation, Ugali wa unga uliolowekwa ni matatizo matupu!
MWISHO WA MAJIBU.
Nami nimeshawishika kwa nia njema kabisa niitupe Mkekani, kwa kuwaokoa wanaume wenzangu hizi ChipsChips tuzipunguze kama si kuachana nazo.
Zitatupelekea fedheha kwa hawa wanawake wetu kutudharau kwa kuja kwetu kuwapa ule muziki upaswao tuwape.
AIBU
A s a n t e n i