Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,722
- 3,680
Uko sahihi mkuu.Mwanamume timamu hawezi kula chips hata kidogo.Ukiacha madhara ya kiafya, chips ni chakula cha mademu au mashoga. Hakuna cha dharura, chips inaondoa nguvu za kiume, mwanamume unakula chips tena kwa tooth pick inasikitisha sanaaaaaa, nyie mnaoponda mada ndio walaji wakubwa wa chips. Mnakera sana.