Mungu ibarik
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 3,376
- 11,520
- Thread starter
- #261
Kweli adi wewe wa kuniambia hivi🙈Kijana achana na mawazo potofu, huyo ndio mkeo sasa. Jiandae kumpokea na kama una doubts basi zungumzeni.
Kweli adi wewe wa kuniambia hivi🙈Kijana achana na mawazo potofu, huyo ndio mkeo sasa. Jiandae kumpokea na kama una doubts basi zungumzeni.
...hapa Sasa ndo pengewe mwanzo ulikuwa unanichora.Achana nae huyo. Hakufai ata kama mbususu hausiswi lakini hapana ni NO!
Ungelegeza maneno kidogo🤭🤭🤭 makali sana.Hakuna maumivu makali kwa mwanaume kama yale ambayo umejiandaa/umempanga demu aje umtafune halafu anakuletea sababu zisizoeleweka kuwa hatatokea...thrn unamcheki kwenye simu hapatikani...dah maumivu yake hayaelezeki...kifua unaona kizito kinabana hasira zinajaa mpaka kwenye unyayo dadeki...ila nini mwamba , mahusiano na hawa viumbe yanahitaji mawasiliano...ukimsahau tu nae anakusahau...yule aliyekaribu nae siku zote ndie anaetunukiwa mbususu. Toka december mpk march unategemea anatunza tu genye zake kukusubiria ww??
Dah🤔 sometimes ukweli unauma Bora hata usijue ,Nini kinaendelea.Hakuna sehemu nimeandika nimem cheat mtu,experience nnayozungumzia ni kumpenda mtu kiasi kwamba,hata ukitaka kumcheat huwezi,yani unampenda mtu mpaka ukitongozwa na wanaume wengine unaona tu kama wanawake wenzio,kwanza unaona kumcheat ni dhambi,nasema tena ukiona mwanamke anakucheat HAKUPENDI,elewa hapo bwana mzabzab
Duh.muite gheto ule tigo
... Hata huyu alikuwa hivyo, haipiti siku bila calls au meseji nyingi but ndo hivyo.. maisha.KANUNI MOJA YA MAHUSIANO IKIWA UNATAFUTA MWENZA AMBAE UNATAKA AJE KUWA MKEO.
"Kamwe usijaribu kulazimisha kuwa na mwanamke unayemshobokea wakati yeye hakushobokei"
Mwanamke mwenye mapenzi ya dhati na wewe ni yule ambae anafanya jitihada awe na wewe na si vinginevyo.ukiona mwanamke inapita siku hajakuuliza wala kukujulia hali mpaka wewe ndio umtafute jua kiwa huyo sio wako na utaitaabisha tu nafsi yako kwake
😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝Wazee hawanaga mbambamba kwenye kutuma hela.
huyu atakuwa kijana under 40 anafukuzia U.T.I sugu kutoka UDOM
Ukweli mtamu ni ule ambao ni mchungu! Huwezi kuishi nao kwa akili mpaka yakukute matukio kama haya ambayo yatauunguza moyo wako.Ungelegeza maneno kidogo🤭🤭🤭 makali sana.
Stori ndefuu alafu huna akili😂😂😂😂 yaani ushastukia mchezo si usikilize mafsi yako na madem kama hao ww kula mzigo muache aende akikuomba pesa kama unajiskia kisaidia mpe usipojiskia usimpe mwanaume unataka kuleta tabia za wadada hujiamini alafu huna maamuziHabarini!
Kuna bidada, tulikutana December 20 mkoani ,tukawa Safari moja iliyotulazimi kutumia 48hrs together. Tukaangukia kwenye mahusiano baada ya chemistry yetu. Tulikuwa Safari moja maana tunaishi mkoa mmoja wilaya tofauti.
Since December kutokana na ratiba zangu kubana tulikutana mara moja alikuja kwangu.. japo huwa anapenda kuja.mahusiano yalikuwa seriously tukisaidiana vitu vidogo vidogo. But toka December Ali nifamahisha kuwa atakuwa na Safari ya dodoma kwenda kuchukua vyeti vyake vya taluma hivyo tukapanga atakavyokuwa tayari kwenda atapitia apa kwangu ikawa okay.
Tarehe 28/3/2023 alisema ruhus imetoka hivyo anaomba assistance ya 150,000k Kama nauli , nikajibu okay nitakupa tarehe 30.akijibu sawa. But tarehe 29 mchana akanitext..
Yeye: "Uko home.. nakuja huko ili asubui nipate gari la moja kwa moja nikitokea huku nitachelewa"
Mimi:" sawa, nipo home mwenyewe.. karibu sana baby"
Yeye: "thanks but Niko na rafiki yangu , nae anaenda dodoma hivyo tutalala lodge"
Mimi: "kwani stand mbaka kwangu si karibu ni umbali wa dakika 10 nauli 1,000 au hutaki kulala kwangu, mje mlale mbona unapajua?"
But toka hapo text zikawa hazipokelewi ila kwangu zinaonekana zimeenda.. mida ya jioni kabisa toka asubui ya saa 5, akanitext saa 12
Yeye:"tumefika..."
Mimi :" sawa saa ngapi & mbona ulikuwa hupatikani?"
Yeye:" saa 10, mtandao ulikuwa m'bovu sorry"
Mimi :" sawa nipange ? Unakuja kuniona?"
Baada ya apo sikupokea text toka kwake even ya goodnight..
Kukakucha, sikuona haja ya kushoboka, nikachuna nimsikilizie maana nilitegemea angeniambia amekata tiketi gari gani? Kaondoka saa ngapi asubui lakini ikawa kimya mbaka jioni nikapokea text kuwa amefika.. sikutaka kuuliza vipi huyo mwenzako lakini mawasiliano yakawa hamna . Amekaa kule siku tatu anachokifanya ni kunitext tu no calls Kama ni call mchana au jioni but usiku hapatikani
Sasa ameshachukua cheti, anarudi yupo safarini muda wote call kuwa ndo aje home kuniona, & kuwa amenimiss .
Binafsi nimeona niuchune tu, maana Kama alikuwepo ambako Niko , Tena kwa umbali wa buku tu pikipiki hakuona haja akalala lodge na huyo aliosema mwezie Sasa Leo yuko alone ndo aje . Toka asubui sijapokea simu yake maana nimeona huu ni usaliti wa wazi kabisa na kunikosea heshima maana kivyovyote vile lazima alikuwa na mwamba, Kama ingekuwa yuko na mwezake wa kike ile jioni alivyowasili asingeweza kulala kule bila kuonana na Mimi .
Nauliza je Kuna umuhimu wa kuonana nae , na hii kitalamu imekaaje
Hiyo 150000 ulimpa?Habarini!
Kuna bidada, tulikutana December 20 mkoani ,tukawa Safari moja iliyotulazimi kutumia 48hrs together. Tukaangukia kwenye mahusiano baada ya chemistry yetu. Tulikuwa Safari moja maana tunaishi mkoa mmoja wilaya tofauti.
Since December kutokana na ratiba zangu kubana tulikutana mara moja alikuja kwangu.. japo huwa anapenda kuja.mahusiano yalikuwa seriously tukisaidiana vitu vidogo vidogo. But toka December Ali nifamahisha kuwa atakuwa na Safari ya dodoma kwenda kuchukua vyeti vyake vya taluma hivyo tukapanga atakavyokuwa tayari kwenda atapitia apa kwangu ikawa okay.
Tarehe 28/3/2023 alisema ruhus imetoka hivyo anaomba assistance ya 150,000k Kama nauli , nikajibu okay nitakupa tarehe 30.akijibu sawa. But tarehe 29 mchana akanitext..
Yeye: "Uko home.. nakuja huko ili asubui nipate gari la moja kwa moja nikitokea huku nitachelewa"
Mimi:" sawa, nipo home mwenyewe.. karibu sana baby"
Yeye: "thanks but Niko na rafiki yangu , nae anaenda dodoma hivyo tutalala lodge"
Mimi: "kwani stand mbaka kwangu si karibu ni umbali wa dakika 10 nauli 1,000 au hutaki kulala kwangu, mje mlale mbona unapajua?"
But toka hapo text zikawa hazipokelewi ila kwangu zinaonekana zimeenda.. mida ya jioni kabisa toka asubui ya saa 5, akanitext saa 12
Yeye:"tumefika..."
Mimi :" sawa saa ngapi & mbona ulikuwa hupatikani?"
Yeye:" saa 10, mtandao ulikuwa m'bovu sorry"
Mimi :" sawa nipange ? Unakuja kuniona?"
Baada ya apo sikupokea text toka kwake even ya goodnight..
Kukakucha, sikuona haja ya kushoboka, nikachuna nimsikilizie maana nilitegemea angeniambia amekata tiketi gari gani? Kaondoka saa ngapi asubui lakini ikawa kimya mbaka jioni nikapokea text kuwa amefika.. sikutaka kuuliza vipi huyo mwenzako lakini mawasiliano yakawa hamna . Amekaa kule siku tatu anachokifanya ni kunitext tu no calls Kama ni call mchana au jioni but usiku hapatikani
Sasa ameshachukua cheti, anarudi yupo safarini muda wote call kuwa ndo aje home kuniona, & kuwa amenimiss .
Binafsi nimeona niuchune tu, maana Kama alikuwepo ambako Niko , Tena kwa umbali wa buku tu pikipiki hakuona haja akalala lodge na huyo aliosema mwezie Sasa Leo yuko alone ndo aje . Toka asubui sijapokea simu yake maana nimeona huu ni usaliti wa wazi kabisa na kunikosea heshima maana kivyovyote vile lazima alikuwa na mwamba, Kama ingekuwa yuko na mwezake wa kike ile jioni alivyowasili asingeweza kulala kule bila kuonana na Mimi .
Nauliza je Kuna umuhimu wa kuonana nae , na hii kitalamu imekaaje
Sikuisomaa ilaa Tatizo ni helaa aliyotoaaa Kifalaa alafu demu kiukwelii kaenda kugongwaa na jamaa mwingineee...!!Hiyo 150000 ulimpa?
Ule uzi kila siku naupita tu na naona comments zinajaa, kumbe kuna mambo mule! Ngoja na mimi nizame nione kilichopo😂Sema nini mkuu..
Pitia ule uzi wa kwanini tamisemi wanachelewa kuita watu makazini, na ule uzi watu wanaoenda dodoma kwenye interview, huwenda alikutana na wadau huko🤣🤣
We jamaa bhana ,Ah sasa ndio upambane kuingia katika hiyo top four m,eya ili ucheze champions league (meaning unakuwa unapewa mbususu)





inabid uingie top four sioHawa mademu sio wa kuwachukulia kwa u serious hata kidogo hawa ni kuwagonga tuu , hela unatoa pale unapokua na uhakika wa papuchi ..sio unatoa toa hela kifalaSikuisomaa ilaa Tatizo ni helaa aliyotoaaa Kifalaa alafu demu kiukwelii kaenda kugongwaa na jamaa mwingineee...!!
Fungukajamaa!!Mwite aje.
Ukiigusa tu mwambie...mbona umeliwa hivi karibuni?
Ukiwa siriaz balaa then mkazie usoni utaona anavyonyong'onyea.
Uso siku zote huongea ukweli.
Mbinu ya pili hii ni hatari acha nibaki nayo😂.
Tatu ungekuwa wa kike ningekupa mbinu ya kugundua kama umesalitiwa kweli😂
Ndio hivyo mwanawane. U can never be just the one kwa mwanamke. Hapa kila kidume anapambana angalu aingie top four acheze champions league.We jamaa bhana ,inabid uingie top four sio
Common sense pls. Nothing good would ever come even if dude will think positively about this situation. She's a cu.nt, simply I can say she's a ho. giving her a call and not picking up the phone and also rejecting to go to the dude's house should be taken as warning before their relationship go abyss.And people meet in a very mysterious way, unquestionably it doesn't matter where you met her,
Don't listen to everything here,some people in this platform are insane
At the end it's you and your life, question first and according to the way you wrote your story I've realised that you are so jealous of your girl
Talk to her that you disliked what she did, if she do it again only then you can undoubtedly question