Wanaume wenzangu hii ikoje

Wanaume wenzangu hii ikoje

Imani yangu ni kuwa humu Kuna wabobezi wa maswala ya mahusiano na pia Kuna wanawake wenyewe.
Binafsi nimeleta hapa ili nijue situation Kama hii kwa wenzangu wengi wangeimlizaje.. Niko jealous because i used to trust her so much na jinsi alivyo sikuwahi kuwaza angekuwa wa hovyo kiasi hiki.
Sikiliza wewe dogo.
Kubaliana na ukweli kuwa kabla yako kulikuwa na miamba inamkojoza.

Baada ya kukutana na wewe usifikiri wataachana overnight au papo hapo.

Wanawake wana tabia ya kupima mizania kwa muda mrefu...yuko nawe na miamba mingine pembeni huku akipima ni mwamba yupi yupo tayari kumbeba jumla.

Hakuna mwanamke yuko aido bila mtu akisubiri ndoa...wanaliwa kimya kinya.

Usipokubaliana na huu ukweli utakula sumu.

Pili mimi siyaamini mapenzi ya mbali Tanzania hii...kiidoogo mzungu ntamwamini lkn sio Mtanzania...hana msimamo wa kuusubiri ub.oo wako kamwe.
Kama wapo ni 0.001%..

Uzoefu ninao na hawa wadudu
 
Imani yangu ni kuwa humu Kuna wabobezi wa maswala ya mahusiano na pia Kuna wanawake wenyewe.
Binafsi nimeleta hapa ili nijue situation Kama hii kwa wenzangu wengi wangeimlizaje.. Niko jealous because i used to trust her so much na jinsi alivyo sikuwahi kuwaza angekuwa wa hovyo kiasi hiki.
For me , i would let her know of what i dislike

If she repeat again only then ild be mad at her,
Talking is only realistic Sense in life to make things work.
 
Sikiliza wewe dogo.
Kubaliana na ukweli kuwa kabla yako kulikuwa na miamba inamkojoza.

Baada ya kukutana na wewe usifikiri wataachana overnight au papo hapo.

Wanawake wana tabia ya kupima mizania kwa muda mrefu...yuko nawe na miamba mingine pembeni huku akipima ni mwamba yupi yupo tayari kumbeba jumla.

Hakuna mwananke yuko aido bila mtu akisubiri ndoa...wanaliwa kimya kinya.

Usipokubaliana na huu ukweli utakula sumu.

Pili mimi siyaamini mapenzi ya mbali Tanzania hii...kiidoogo mzungu ntamwamini lkn sio Mtanzania...hana msimamo wa kuusubiri ub.oo wako kamwe.
Kama wapo ni 0.001%
Mueleze huyo. Ata huko ulaya long distance shida sii tunaonaga kwenye ile programme ya cheaters.

Mzeya umempa ukweli hamna mwanamke anaweza kwenda miezi miwili bila kugegedwa hayupo na kama yupo basi ni mbaya wa sura na hana chura
 
Kwani uwongo...nyie wanawake mnakuwaga na wanaume wanne.
1)talk dark and handsome.
2) mwenye hela ila ana mke
3) anayejua kuchakata mbususu vizuri ila ndio hana hela🤣🤣🤣
4) unayempenda kweli kweli
Sasa kaka kwenye hao wanna, nijue nimewekwa kundi lipi ? Au na huko kwenye list sipo
 
Mueleze huyo. Ata huko ulaya long distance shida sii tunaonaga kwenye ile programme ya cheaters.

Mzeya umempa ukweli hamna mwanamke anaweza kwenda miezi miwili bila kugegedwa hayupo na kama yupo basi ni mbaya wa sura na hana chura
Hawa viumbe pasua kichwa usipowajulia watakutesa.
Wanaume tubadilishe mitazamo yetu tutakwisha
 
Mwite aje.
Ukiigusa tu mwambie...mbona umeliwa hivi karibuni?
Ukiwa siriaz balaa then mkazie usoni utaona anavyonyong'onyea.

Uso siku zote huongea ukweli.

Mbinubya pili hii ni hatari acha nibaki nayo😂

Nitavunja mahusiano mengi humu mkuu
Shusha mbinu zote humu, mahusiano yakivunjika huna hasara maana nyingi sio ndoa na utaokoa watu kibao.
 
Back
Top Bottom